njanoj17
Member
- Apr 7, 2014
- 25
- 2
Habarini wanajamvi,
Napenda kwa anayejua anipe maelekezo kidogo kuhusu Kuitwa kwenye Interview na Utumishi, Kuna Tangazo walilitoa tarehe 9/12/2017 lenye Kumb.NaEA.7/96/01/J/69 kuitwa kwenye Usahili, hapo Niliiona jina langu na jana Tarehe 13/12/2017 kupitia tangazo lao lenye Kumb.NaEA.7/96/01/J/73 wametoa orodha nyingine ya majina kwa kada ileile na jina langu halipo inakuaje kwa situation kama hii?
Msaada please.
Napenda kwa anayejua anipe maelekezo kidogo kuhusu Kuitwa kwenye Interview na Utumishi, Kuna Tangazo walilitoa tarehe 9/12/2017 lenye Kumb.NaEA.7/96/01/J/69 kuitwa kwenye Usahili, hapo Niliiona jina langu na jana Tarehe 13/12/2017 kupitia tangazo lao lenye Kumb.NaEA.7/96/01/J/73 wametoa orodha nyingine ya majina kwa kada ileile na jina langu halipo inakuaje kwa situation kama hii?
Msaada please.