Woga wako umasikini wakoUshwenu wakuu, akapige usaili ama apotezee? Maana yupo mkoani,inabidi asafiri kuja Dar, na chance ya kupata naona ni ndogo saana,Endapo wote 74 watahudhuria
Nipo Kazini mwaka wa tatu nakula Keki ya taifa
Niliajiliwa Kwa interview iliyoalika watu 320
Nafasi ya mtu mmoja
Mwisho wa siku waliitwa watu zaidi katika ajira. Kwa ushauri nitafute chumban(inbox)