- Thread starter
- #41
Watu waliumizwa sanaHakika Mungukajibu maombi yetu
Watu waliumizwa sanaHakika Mungukajibu maombi yetu
Tunashukuru kilio cha vijana kimesikilizwa! Waliumizwa kiuchumi na kisaikolojia! Tunashukuru sana kwa hili
View attachment 2271143
Ni kweli, Tukianzisha mada humu jf msiwe mnazipita zinagusa maisha yetu na watoto wetu!Hii habari ni kweli ?
Uwe unafanyika Kikanda
Ilikuwa hivi disaster"Ni sawa na Tff wapange mechi ya timu za mtwara zikafanyikie kigoma!" Na mashabiki watoke nao mtwara kwenda Kigoma!