Retizinga
Member
- Aug 7, 2016
- 89
- 70
Waswahili wanasema kukiri kosa sio udhaifu ni namna ya kujiimairisha na kuweka misingi bora ya kulizuia lisitoke lakini hali ni tofauti kwa taasisi hii ya umma iliopo chini ya ofisi ya Rais baada ya mitihani kuvuja wameweka pamba masikioni kwa kiburi kikuu wanadai hakuna mitihani uliovuja.
Inauma sana kuona hili likifanyika na usahihishaji ukiendelea, kwa mwenendo huu mnataka kutuamisha maelfu ya vijana wasomi tusio na ajira kwamba mpo kwa ajili ya kundi Fulani la watu tumieni busara na si mabavu usaili urudiwe ili watakaopata wawe wamepata kihali hizo kazi.
Pia jukumu la kutafuta ushaidi na kujiridhisha kuwa mtihani ulivuja na kuchukua hatua ni lenu msilikwepe mkatutega kwa kudai kuwa mpaka tuwalete ushaidi wa moja kwa moja ofisin kwenu.
Mwisho nitoe wito kwa waathiriwa wote wa hii dhuluma na waathiriwa na watarajiwa yaani wanafunzi wa vyuo vikuu kuwa tayari kuchukua hatua madhubuti ili kukomesha ufedhuri na dhuluma zinazofanyika na chombo hiki cha umma kwa kutoa ajira kwa kujuanaa na rushwaaa bora kupotea kuliko kuishi kama watumwa kwenye nchi yetu.
Inauma sana kuona hili likifanyika na usahihishaji ukiendelea, kwa mwenendo huu mnataka kutuamisha maelfu ya vijana wasomi tusio na ajira kwamba mpo kwa ajili ya kundi Fulani la watu tumieni busara na si mabavu usaili urudiwe ili watakaopata wawe wamepata kihali hizo kazi.
Pia jukumu la kutafuta ushaidi na kujiridhisha kuwa mtihani ulivuja na kuchukua hatua ni lenu msilikwepe mkatutega kwa kudai kuwa mpaka tuwalete ushaidi wa moja kwa moja ofisin kwenu.
Mwisho nitoe wito kwa waathiriwa wote wa hii dhuluma na waathiriwa na watarajiwa yaani wanafunzi wa vyuo vikuu kuwa tayari kuchukua hatua madhubuti ili kukomesha ufedhuri na dhuluma zinazofanyika na chombo hiki cha umma kwa kutoa ajira kwa kujuanaa na rushwaaa bora kupotea kuliko kuishi kama watumwa kwenye nchi yetu.