Mnachokifanya sasa sio sawa kuwaweka ajira 2014, 2015, 2016, 2017 kwenye daraja moja bila kuangalia umri kazini. Mnachokifanya sasa ni kusahau miaka watumishi waliopotezewa kwenye masuala ya uhakiki na vyeti feki. Pia kuna ajira 2012 na 2013 walikaa miaka 6 bila kupanda kwa sababu za kilichoitwa uhakiki.
NINI KIFANYIKE?
Ili kusawazisha hili, inatakiwa muhesabu miaka ya mtumishi tangu aajiriwe na daraja ambalo angetakiwa awepo kisha mumuweke hapo.
Mfano: Ajira 2012, 2013 wenye degree sasa wanatakiwa wawe TGS F etc.
Ila hiki mnachokifanya sasa ni sawa na kufunika kombe ili mradi mambo yaende. Je hawa waliopoteza miaka 2, 3, 4 kupisha uhakiki wanafidiwa vipi?
Cc: Waziri - Utumishi
Cc: Katibu Mkuu Kiongozi
Cc: Rais JMT
NINI KIFANYIKE?
Ili kusawazisha hili, inatakiwa muhesabu miaka ya mtumishi tangu aajiriwe na daraja ambalo angetakiwa awepo kisha mumuweke hapo.
Mfano: Ajira 2012, 2013 wenye degree sasa wanatakiwa wawe TGS F etc.
Ila hiki mnachokifanya sasa ni sawa na kufunika kombe ili mradi mambo yaende. Je hawa waliopoteza miaka 2, 3, 4 kupisha uhakiki wanafidiwa vipi?
Cc: Waziri - Utumishi
Cc: Katibu Mkuu Kiongozi
Cc: Rais JMT