wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Usilete kiingereza kiiiingi,ukweli Ni Kwamba TRA waliongezewa mpunga.Unafanya kazi TRA? Unajua salary review taasisi zipi ziliondolewa posho nyingi na mishahara ikapunguzwa? Magufuli aongeze mshahara? Hahahah hujui tu,uliza TPA,TPDC,TRA kilichowapata