Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,300
Wakuu salaam,
Nina mdogo wangu kamaliza chuo mwaka 2018, ana bachelor degree ya Business Administration, kashafanya usaili wa Mamlaka ya Mapato mara mbili sasa, cha ajabu leo wakati anaomba kwenye hizi nafasi mpya zilizotangazwa anaambiwa hana "qualifications" za kuomba kada hiyo na kwenye tangazo wameandika kabisa wanahitaji mtu wa business administration.
Nashindwa namna ya kuwafikia watu wa Utumishi (Kwa maana ya mawasiliano), kama kuna mtu ana namna ya kunisaidia ili kijana aweze kuomba ajaribu bahati yake basi nitashukuru sana.
Naamini, dubwana hili ni kubwa na kuna watu wengi sana wanaoweza kuwa msaada katika hili tusaidieni ili dogo ajaribu bahati yake, nakala za kuitwa kwa nafasi hizi mara mbili zipo katika portal ni ajabu leo anakataliwa.
Wakuu, msaada wenu una umuhimu sana kwa namna yoyote ile.
Natanguliza shukrani.
N.B: Naambatanisha picha nayopata baada ya kila akijaribu ku - apply, pamoja na requirements za kada hiyo
View attachment 1986876
Nina mdogo wangu kamaliza chuo mwaka 2018, ana bachelor degree ya Business Administration, kashafanya usaili wa Mamlaka ya Mapato mara mbili sasa, cha ajabu leo wakati anaomba kwenye hizi nafasi mpya zilizotangazwa anaambiwa hana "qualifications" za kuomba kada hiyo na kwenye tangazo wameandika kabisa wanahitaji mtu wa business administration.
Nashindwa namna ya kuwafikia watu wa Utumishi (Kwa maana ya mawasiliano), kama kuna mtu ana namna ya kunisaidia ili kijana aweze kuomba ajaribu bahati yake basi nitashukuru sana.
Naamini, dubwana hili ni kubwa na kuna watu wengi sana wanaoweza kuwa msaada katika hili tusaidieni ili dogo ajaribu bahati yake, nakala za kuitwa kwa nafasi hizi mara mbili zipo katika portal ni ajabu leo anakataliwa.
Wakuu, msaada wenu una umuhimu sana kwa namna yoyote ile.
Natanguliza shukrani.
N.B: Naambatanisha picha nayopata baada ya kila akijaribu ku - apply, pamoja na requirements za kada hiyo
View attachment 1986876