wadau naomba kueleweshwa suala zima la oil....
mfano watumia gari dogo ist...unakuta unaaambiwa weka oil flan ya km 3000 mara mwingine oil hii kma 50000 mara ooo oil hii nyepesi sana si nzuri..mara hii nzito sana si sawa!! basi sijawah kuwa na jibu sahihi ni oil gan kwa ajili ya matumizi na umbali sahihi!!!
mfano watumia gari dogo ist...unakuta unaaambiwa weka oil flan ya km 3000 mara mwingine oil hii kma 50000 mara ooo oil hii nyepesi sana si nzuri..mara hii nzito sana si sawa!! basi sijawah kuwa na jibu sahihi ni oil gan kwa ajili ya matumizi na umbali sahihi!!!