MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kwa katiba hii iliyopo tutatumbuana mpaka basi. Kwahiyo kama tutaipa kisogo katiba mpya tujue kua utumbuaji utakua kitu cha kawaida sana na wafanyakazi watazoea tu hiyo hali.Wala hili halina ubishi tuendelee kusubiri sana.
Tubadili katiba iliyopo, tupate katiba mpya yenye mifumo imara na dhabiti nchi yetu isonge mbele.
Tubadili katiba iliyopo, tupate katiba mpya yenye mifumo imara na dhabiti nchi yetu isonge mbele.