Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kuna kontena kadhaa za mzigo fulani zimekwama haziwezi kupanda meli kwa kuwa hazina kibali cha idara fulani ya serikali ambapo inaarifiwa wahusika wa kutoa vibali hivyo huko katika idara hiyo ya serikali wametumbuliwa majipu na kwa hiyo basi ili kukipata kibali hicho ama waliotumbuliwa wakamuliwe usaha vizuri wapone warudi kazini au wabaki hukohuko waajiriwe wengine ndio hapo kibali kitatolewa.
Muwekezaji kakasirika sana kwa utaratibu huu mbovu.
Muwekezaji kakasirika sana kwa utaratibu huu mbovu.