mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Wana JF,
Imethibitika uwepo wa boda boda mjini ni moja ya uchafu mjini. Pia ndio waleta ajari wakubwa.
Sasa hivi mjini unatembea kwa raha kwenye njia za watembea kwa miguu. Hofu imepungua kwani vijana hawa hawana adabu na barabara.
Wengi hawana mafunzo wanatumia njia ambazo zimefungwa yaani one way ovyo au wanapita njia zisizorusiwa.
Imethibitika uwepo wa boda boda mjini ni moja ya uchafu mjini. Pia ndio waleta ajari wakubwa.
Sasa hivi mjini unatembea kwa raha kwenye njia za watembea kwa miguu. Hofu imepungua kwani vijana hawa hawana adabu na barabara.
Wengi hawana mafunzo wanatumia njia ambazo zimefungwa yaani one way ovyo au wanapita njia zisizorusiwa.