Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,375
- 12,566
Huu ni ushauri kulingana na mtazamo wangu.
Katika hili swali watu walio wengi hukosea pasipo kufahamu nini hasa hasara zake. Binadamu wengi sisi sio wakamilifu sana wala sio watenda mema sana, lakini pale tunapo guswa huwa tunajaribu kujitoa kwa hali na mali.
Utakuta mtu anawahi kushikwa na roho ya huruma kumsaidi mtu asie mfahamu kabisa endapo atadai kuwa anashida pasipo kujua mwenendo au matendo ya mtu huyo, si jambo baya ni jambo zuri kabisa.
Lakini lengo la uzi huu ni kukumbusha kua.. sisi sote sio wakamilifu tunatakiwa pia kuwa na utu wema na roho ya kujali kwa mtu unae mfahamu, bila kujali tabia zake au level yake ya maisha.
Kwani siku wew ukipatwa na shida huta chukua uamuzi wa kuwa ombaomba (begger) utamfata yule ambae unamfahamu, na pengine hata pasipo wewe kumuomba anaweza kurudisha fadhila kwa njia yoyote ile endapo uliwahi kumsaidia, kama ni jirani yako au ndugu yako.
Katika kuchunguza kwangu ninaona kwamba huko kukosea kunasababishwa naa..
Watu wengi tunaona endapo tutamsaidia mtu asie tufahamu hasa kitabia, ni kwamba unaona mtu huyo atakuvika taji la wema kwa asilimia mia moja na kukushukuru sana,
Na pengine tunadhani usie mjua ndie mala nyingi Mungu anataka umsaidie lakini hapana..
Na wengine hudiliki kumthamini mtu kutokana na Muonekano wake, ukadhani huyu nikimpa huduma vizur atanisifia na kuniona na mim niwamaana sana.
Alafu unae fahamiana nae au kulingana nae level fulani ya maisha unamuona kama msumbufu, au kaja kukuchora, pengine unamuona kwamba hato shukuru ipasavyo, lakini tusisahau ya kwamba unae mfahamu ni wamaana pia sana kwako.
Ujumbe wangu ndio huo... Anae kufahamu wakati mwingine anaweza kuona wew ni wathamani sana kwani sisi sote sio wakamilifu sana, kuliko asie kufahamu wakati mwingine hato ona maana yoyote kwako.
Anae kujua unavyo pambana, siku yeye akiwa juu, atatamani akuvute mkuno na wew ufike juu kwani anatambua kiu yako na upambanaji wako.
Sipingi wema kwa mtu usie mjua, lakin nakumbusha tuthaminiane sisi tunao fahamiana kwa kiasi zaidi hata kama rafik yako ni mmbea, au snich au pengine yeye vyakake unaona anakua mchoyo, huwezi jua leo na kesho bado wew kwake unaweza kua wa maana kwani mliishi kucheka wote na wakati mwingine kutembea pamoja.
Katika hili swali watu walio wengi hukosea pasipo kufahamu nini hasa hasara zake. Binadamu wengi sisi sio wakamilifu sana wala sio watenda mema sana, lakini pale tunapo guswa huwa tunajaribu kujitoa kwa hali na mali.
Utakuta mtu anawahi kushikwa na roho ya huruma kumsaidi mtu asie mfahamu kabisa endapo atadai kuwa anashida pasipo kujua mwenendo au matendo ya mtu huyo, si jambo baya ni jambo zuri kabisa.
Lakini lengo la uzi huu ni kukumbusha kua.. sisi sote sio wakamilifu tunatakiwa pia kuwa na utu wema na roho ya kujali kwa mtu unae mfahamu, bila kujali tabia zake au level yake ya maisha.
Kwani siku wew ukipatwa na shida huta chukua uamuzi wa kuwa ombaomba (begger) utamfata yule ambae unamfahamu, na pengine hata pasipo wewe kumuomba anaweza kurudisha fadhila kwa njia yoyote ile endapo uliwahi kumsaidia, kama ni jirani yako au ndugu yako.
Katika kuchunguza kwangu ninaona kwamba huko kukosea kunasababishwa naa..
Watu wengi tunaona endapo tutamsaidia mtu asie tufahamu hasa kitabia, ni kwamba unaona mtu huyo atakuvika taji la wema kwa asilimia mia moja na kukushukuru sana,
Na pengine tunadhani usie mjua ndie mala nyingi Mungu anataka umsaidie lakini hapana..
Na wengine hudiliki kumthamini mtu kutokana na Muonekano wake, ukadhani huyu nikimpa huduma vizur atanisifia na kuniona na mim niwamaana sana.
Alafu unae fahamiana nae au kulingana nae level fulani ya maisha unamuona kama msumbufu, au kaja kukuchora, pengine unamuona kwamba hato shukuru ipasavyo, lakini tusisahau ya kwamba unae mfahamu ni wamaana pia sana kwako.
Ujumbe wangu ndio huo... Anae kufahamu wakati mwingine anaweza kuona wew ni wathamani sana kwani sisi sote sio wakamilifu sana, kuliko asie kufahamu wakati mwingine hato ona maana yoyote kwako.
Anae kujua unavyo pambana, siku yeye akiwa juu, atatamani akuvute mkuno na wew ufike juu kwani anatambua kiu yako na upambanaji wako.
Sipingi wema kwa mtu usie mjua, lakin nakumbusha tuthaminiane sisi tunao fahamiana kwa kiasi zaidi hata kama rafik yako ni mmbea, au snich au pengine yeye vyakake unaona anakua mchoyo, huwezi jua leo na kesho bado wew kwake unaweza kua wa maana kwani mliishi kucheka wote na wakati mwingine kutembea pamoja.