Nimecheka mpaka nimesusu,,hahaaaaaaNakumbuka nikiwa binti mdogo,kuna siku mama alikuwa mgonjwa,akanituma nikamwite jirani rafiki yake nimwambie kuwa mama ana shida anaomba uende,nilichoenda kusema ni kuwa "Mama kakwambia hivi kama una shida uende"yule mama alishtuka sana mbona ujumbe umekaa kishari shari.alipoenda kumueleza mama nilipokea kipigo cha paka mwizi.sitasahau.
Huwa nasoma jamaniNamaanisha hata ndefu ndefu unavumilia tu. Nyuzi ndefu unazisoma mwanzo mwisho!
Ndo hivyo best utoto.Nimecheka mpaka nimesusu,,hahaaaaaa
hujaeleweka kabisa,sasa human hair ulitumwa ya nini? nyie wachawi?pole sana. nikiwa mtoto, niliwahi kutumwa kwa mama wa jirani, kitu kuhusu human hair! Huko nilikotumwa, nilitamka neno ambalo, yule mama mlengwa akaniingiza ndani, nilichezea mboko za kutosha! Kurudi nyumbani nako, nikala mboko zingine tena!
walah nimecheka ila mama yako alikuwa na mkono mwepesi duuhNakumbuka nikiwa binti mdogo,kuna siku mama alikuwa mgonjwa,akanituma nikamwite jirani rafiki yake nimwambie kuwa mama ana shida anaomba uende,nilichoenda kusema ni kuwa "Mama kakwambia hivi kama una shida uende"yule mama alishtuka sana mbona ujumbe umekaa kishari shari.alipoenda kumueleza mama nilipokea kipigo cha paka mwizi.sitasahau.
jamani mnanivunja mbavupole sana. nikiwa mtoto, niliwahi kutumwa kwa mama wa jirani, kitu kuhusu human hair! Huko nilikotumwa, nilitamka neno ambalo, yule mama mlengwa akaniingiza ndani, nilichezea mboko za kutosha! Kurudi nyumbani nako, nikala mboko zingine tena!
Itakuwa alikulisu!Ilikuwa mara yangu ya kwanza kumiliki manati,siku hiyo nikakaa uchochoroni kufanya test kusubiri huku nimeivuta Akajitokeza mdogo wangu mmoja nilipoachia ikamkuta tumboni. Dogo alilia watu walishtuka hawakujua kitu gani,mama alipopata habari kilichotokea siwaambii acheni tu.
Malizia basiNimekuja my
Kule lock hofu ikanipanda. Hofu pamoja na majuto.Slim5 njoo umalizie bwana
Ni kweli mkuu,mama(r.i.p)alikuwa na mkono wa kutandika hasa.walah nimecheka ila mama yako alikuwa na mkono mwepesi duuh
Nimecheka eti mama amesema kama una shida uendeNi kweli mkuu,mama(r.i.p)alikuwa na mkono wa kutandika hasa.
Mimi nipo mbonaHivi ulipotelea wapi!