Utoto mitandaoni: Mnamu-overate sana Kagame, hawezi na hatoweza

kwa mfumo rwanda ni mtoto kweli LAKINI TATIZO kamshika bosi wetu bosi wa nchi (akili ku mkichwa)

Tanzania iltakiwa iwe na shirika la kijasusi lenye full power i!!
sasa bakini na tiss yenu inayoishia kushauri tuu...
mtu mwenyewe anaeshauriwa ndo huyu...

tatizo sio nguvu ya rwanda tatizo pk anaweza kutumia ushawishi wake kwa rafkiake kufankisha mambo ya rwanda

ngoja niishie hapa maana nkfkiria sanaaa naishiaga tuu ku doubt uraia wa yule jamaa alopewa n'gombe wengi na mr slm
Ni mtanzania
 
Mr.slim anaongoza Tanzania kwa sasa jamaa anaelekezwa tuu cha kufanya kama waziri fulani Mimi huwa sipendi hata hizo safari zake bongo naona anakuja kutoa maelekezo kwa waziri wake siasa za kutekana na kupigana risasi zilikua hazipo bongo...
Hauna fact..hujui
 
Duu nimeipitia hiyo mkuu. Ilikua ni very interesting News lkn kuna kitu ukatuacha nacho tukifikirie wenyewe. Nadhani kinaeleweka.
Mkuu Mataluma, ni kweli kuna vitu sikusema, ili kukupa uhuru wa kufikiri, ila nimekukubali, level yako ya understanding!, ni wachache sana waliofikia that level.
P.
 
Mkuu umeandika mengi na naheshimu maoni yako ila kipindi kagame anapindua serikali ya Rwanda hiyo congo haikuwa failed state maana ilikuwa bado chini ya Rais powerful Mobutu seseseko..... Ila kagama ndio KAIFANYA congo kuwa failed state kupitia first congo war na second congo war moja akimpindua mobutu na nyingine akijaribu kumpindua Kabila mkubwa..... Na baada ya kumpindua akaacha marebels wengi congo ili kumsaidia kuichezea anapotaka

Trust me hata museveni bado yuko madarakani sababu ya kagame siku wakitibuana ikulu ataisikia kwenye bomba..... Hata nkuruzinza na kabila siku kagame akisema inatosha atatolewa tu atake asitake so huyu mtu sio wa kumu under-rate kabisa ukiweza kujua kivp 92-94 alipigana vita kwenye mataifa ma4 na kushinda kote ungeelewa nasema nini hata second congo war kabila alisaidiwa na majeshi ya nchi zaidi ya 9 ili kupambana na kagame mwenye kanchi kadogo ila bado vita ilipamba moto!!! Huyo jamaa sio wa mchezo mchezo
Hata kagame mwenyewe anajua Tanzania siyo Congo na hizo nchi zaidi ya tisa hazikuwa na nia ya kusaidia bali kuiba madini,usisahau pia kuna Waasi wanaitwa FDLR, kuna wakina Kayumba Nyamwasa na wengine wengi wanaomjua PAKA zaidi yako na hao wote ni LINKS ambazo Tanzania inaweza kutumia kumyima PAKA usingiziMaswali yangu kwako jiulize wakati Nkurunzinza anataka kupinduliwa alikuwa mkutanoni nchi gani? Tangu jaribio la kumpindua kutofanikiwa hajawahi kusafiri nchi yoyote isipokuwa nchi moja tu ni nchi gani? na ni kwanini Mkapa ndiye alikuwa msuluhishi wa mgogoro wa Burundi?Kabila mkubwa na mdogo walikulia wapi mpaka kufikia walipofika?Museveni alikuwa anaishi na kusomea wapi kabla ya kuwa Raisi Uganda?Na ni kwanini Rais wa Msumbiji anaongea kiswahili kizuri kushinda hata baadhi ya wabongo?
 
Mkuu kagame sio overrated ila ni mtu hatari sana kma aliweza kuinyoosha nchi kubwa zaidi ya Tanzania mara 5 yaani DR Congo nzima mara 2 na mpaka leo haikaliki kisa yeye unafkiri atashindwa Tz??

2. Nakumbuka kipindi ana beef na kikwete alisema anaintelijentsia kila kona Tz kiasi kwamba anajua mpaka shuka zinavyobadilishwa ikulu!! Hivi mpaka anajiamini hivyo unafkiri ni mtu wa kawaida huyo?

3. Unaposema eti Tanzania hatuijui ukimaanisha intelijentsia yetu iko vzuri sana.... Basi niambie kivp tembo laki 5 wamekufa toka 2005 hao TISS hwakuzuia?? Vipi makinikia TISS hawakuzuia kwa miaka 15?? Hao mapandikizi wa kagame hadi kufika kufanya kazi ikulu kivp TISS imeshindwa kuwagundua ?? Vp kura zinaibiwa na TISS wanashindwa zuia!!

4. Eti Rais anapita kwa vetting sio voting!! Sasa alipiga kampeni za nini hadi kuanza kulia lia jukwaani tumchague if at all mlijua anauzika na kwamba atapita iwe amepigiwa kura ama lah..... Mlitumia gharama za kampeni ya nni kma mlijua hata akishindwa mtaiba tu?? We sema tu NEC na katiba ndio inawabeba CCM hayo ya TISS kutupangia Rais haiwezekani maana kma wananchi wakiingia barabarani kma kenya 2003 hao TISS hawawezi zuia lolote maana hawafiki 10% ya wapiga kura wote wa upinzani!!!so usiwasifie sana kana kwamba wako very bright ilihali rais waliyetuletea hana hata busara za kiuongozi

Magufuli kapatikana baada ya beef ya lowasa na membe lasihivyo urais angeusikia kwenye bomba..... Na kma kweli TISS walimpendekeza magufuli awe Rais basi naweza kusema tuna TISS mbovu zaidi katika historia ya dunia kma ndio wanapendekeza viongozi type ya magufuli
Hujui unachokisema wewe
Watanzania wengi hamjui mambo yanavyofanyika nchini mwenu.
Naamini mkiambiwa hamtaelewa, twende hivo hivo as long as hamna madhara
 
Mpaka Sasa kagàme is leading our country indirectly, jamaa is so genius I real appreciate him
 
Poop
Kagame katawala bongo kwa roho mbaya ya kiuwaji afu Hakuna dictator mwoga kama paka check alivyomnyanya binti mdogo Rwigara huu ni uoga uliopindukia general Mzima kukihofia kibint kidogo ambacho hata hakijavunja ungo aibu Sana
Sasa Yule huwa hadharau. Mtu yeyote kwake ni sawa, hujui hata hayo mainchi makubwa huwa yanatumia wanawake Kama hao, hata Samson aliangushwa na mwanamke , so kagme is right kumfinya huyo binti ametumwa na ufaransa
 
Mkuu, huyo kagme ni rais wa afrika, believe or not ukweli ni muchungu Sana
Aiseee..hiki kizazi cha kulishana matangopoli. Msafir basi hata Nchi zingine Afrika mtajua hata Hugo Kagame siyo maarufu
 
Mkuu Tz pamoja mnavyoidharau lakini ktk medani za vita hamuiwezi.
FYI kipindi cha mzozo wa Ziwa Nyasa Tz was going to war To defend its territory. TPDF iliingia km 40 ready for battle. Lakini makamanda Wakaambiwa warejee nyuma kuwa Malawi was not a potential threat. Sijaifananisha Rwanda na Malawi lakini utayari wa kivita wa Tz is uncomparable to any of east and central african states.
Kaulize wale cousins wa PK M 23 walijifanya wanajua. Kisha ktk battle wanaingiza uchawi wao wa kongo wa kukwepa risasi. Sasa wakakutana na Mwakibinga akaamuru matumizi makubwa ya rpgs na kupiga risasi mtu na kivuli chake hapo M23 waka retreat kwa kaka yao Wa zamani M7.
Sasa ngoja tunawaandalia dawa yenu na jamaa zenu walioambush kambi yetu na Waambie jamaa zenu kuwa no stone shall be left UN
Una akili nyingi sana
 
Shida ya watanzania wengi ni kusoma sana post za Mange Kimambi na kumuamini...anayemuoverate PK ni Mange na Chadema..Policy yetu Tanzania hatujawahi kuwa desparate wa kuhitaji urafiki wala msaada kutoka eti nchi jirani....Ila tu ni matamanio yangu kuwa ni wakati muafaka Tanzania tukabadili sera yetu ya nje ya kijajusi (covertly) kuhusu hawa majirani...Kwa sasa tulitakiwa tuwe tumepandikiza wanasiasa, wanajeshi,wahadhiri,wanausalama na watalaamu mbalimbali katika nchi za Rwanda, Burundi,Kongo,CAR,Burundi, Kenya, Malawi na Uganda....hatujachelewa sana..tufanye kile nyerere alichokifanya miaka ya 80
 
Mkuu kagame sio overrated ila ni mtu hatari sana kma aliweza kuinyoosha nchi kubwa zaidi ya Tanzania mara 5 yaani DR Congo nzima mara 2 na mpaka leo haikaliki kisa yeye unafkiri atashindwa Tz??

2. Nakumbuka kipindi ana beef na kikwete alisema anaintelijentsia kila kona Tz kiasi kwamba anajua mpaka shuka zinavyobadilishwa ikulu!! Hivi mpaka anajiamini hivyo unafkiri ni mtu wa kawaida huyo?

3. Unaposema eti Tanzania hatuijui ukimaanisha intelijentsia yetu iko vzuri sana.... Basi niambie kivp tembo laki 5 wamekufa toka 2005 hao TISS hwakuzuia?? Vipi makinikia TISS hawakuzuia kwa miaka 15?? Hao mapandikizi wa kagame hadi kufika kufanya kazi ikulu kivp TISS imeshindwa kuwagundua ?? Vp kura zinaibiwa na TISS wanashindwa zuia!!

4. Eti Rais anapita kwa vetting sio voting!! Sasa alipiga kampeni za nini hadi kuanza kulia lia jukwaani tumchague if at all mlijua anauzika na kwamba atapita iwe amepigiwa kura ama lah..... Mlitumia gharama za kampeni ya nni kma mlijua hata akishindwa mtaiba tu?? We sema tu NEC na katiba ndio inawabeba CCM hayo ya TISS kutupangia Rais haiwezekani maana kma wananchi wakiingia barabarani kma kenya 2003 hao TISS hawawezi zuia lolote maana hawafiki 10% ya wapiga kura wote wa upinzani!!!so usiwasifie sana kana kwamba wako very bright ilihali rais waliyetuletea hana hata busara za kiuongozi

Magufuli kapatikana baada ya beef ya lowasa na membe lasihivyo urais angeusikia kwenye bomba..... Na kma kweli TISS walimpendekeza magufuli awe Rais basi naweza kusema tuna TISS mbovu zaidi katika historia ya dunia kma ndio wanapendekeza viongozi type ya magufuli
Duh
 
Acha upuuzi wako je watanzania waliojaa katika jeshi la Rwanda hawaoni eti sasa hivi mnadukua mawasiliano ya wanajeshi wenu hasa wanaoongea Kiswahili mnajisumbua wengi wananunua ardhi TZ wakistaafu wanarudi home Pumbafu Sana wanyarwanda
Umeamua kunitolea maneno tu bila kunielewa.
 
A lightbulb joke or "Why did the chicken cross the road?"
We unajitenga vipi na huo utoto mtandaoni kama na wewe umeleta huo utoto.
a) Kwa maneno yako mwenyewe umetuambia tusiwe inferior , kwa kuwa wazelendo kwa Tanzania wakati huo huo in the background unachofanya ni kumsifia JPM kwa kuonysha weakness ya JK.Hapa umelenga kumshindanisha JPM na JK kwa common factor ambayo ni PK, na wala siyo kuhusu nchi. Hii ina maana wewe Mwenyewe unakubali PK ni tishio

b) Huyo JPM mwenyewe unayemtetea anaonekana yuko so blinded, anamkubali jamaa kiasi kwamba PK anatumia hiyo advantage kutimiza malengo yake. Hichi unachokiita utoto mtandaoni ni Sauti ya wana wa nchi ambao hawaegemei kwa JK au JPM ila kwa kuwa aliyepo kwa sasa ni JPM ili asije akamwezwa na huyo chatu, maana kichwa kikishamezwa(yeye) na sisi tunakuwa tumeshamezwa!
c) Hayo mambo ya kujisifia nguvu/ukubwa wa jeshi ni ya kizamani sana, kama huna strategy utawalaza watu wako njaa kwa kusifiwa na jirani kwamba nimejenga sgr kwa hela zangu mwenyewe etc huku watu wako wanataabika
Taja lengo lake moja alilotimiza kwa kutumia hiyo advantage unayoi refer.
 
Mr.slim anaongoza Tanzania kwa sasa jamaa anaelekezwa tuu cha kufanya kama waziri fulani Mimi huwa sipendi hata hizo safari zake bongo naona anakuja kutoa maelekezo kwa waziri wake siasa za kutekana na kupigana risasi zilikua hazipo bongo...
Teh teh kua makini South Africa Mr.Slim anakuja anawatungua kama wako tandale vile pamoja na ulinzi wote uliopo huko
 
Hujui unachokisema wewe
Watanzania wengi hamjui mambo yanavyofanyika nchini mwenu.
Naamini mkiambiwa hamtaelewa, twende hivo hivo as long as hamna madhara
Nachojua kama ACACIA wameweza kutuibia makinikia miaka 20 TISS wako kimya.... Kma singa singa alitupiga billion zaidi ya 500 na TISS hawakuzuia kwanini na wwe unaioverrate??? Kura zinaibwa hao TISS wanakuwaga kuzuia huo uhuni wa kuchakachuliwa kura???

Kuwa mzalendo ni kusema ukweli TISS imekaa kisiasa sana ndio maana watu wengi hawana imani nayo kma haikosi mapandikizi!! Ingekuwa imezuia marais mafisadi kma kikwete na mkapa kushika nchi kweli ningeamini TISS ni kiboko yao ila kma tumeteseka miaka 50 ya ufisadi na madini yanaibwa basi tuache tufikirie otherwise
 
Rwanda ni Nchi ndogo sana kwa Tanzania.

Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi kwa regime hii mnapotoka sana. Acheni siasa za kitoto eti mzee walinzi wake ni wanatoka Rwanda. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania.. Hata akiamua hana uwezo huo. Kuna watu mnaishi Tanzania lakini hamjui vizuri Tanzania. Au mnadhani Magu amekuwa Rais kwa bahati mbaya. Urais ni vetting siyo voting. Kwa kazi aliyoifanya wizara ya ujenzi ili chama kiendelee ilikuwa lazma asimamishwe MTU anae uzika.

Why Magu na Rwanda; miaka ya 2010+ kipindi Uganda mseven akiwa mwenyekiti wa EAC, Kenya/UG na S.S pamoja R walianzisha coalition of will au Cow, ambayo walikubaliana kuashirikiana kwenye mambo ya miundombinu/elimu etc. Tz/Burundi tulitengwa. Cow n chokochoko za Kenya kutaka kumtingisha Tz. Baadaye cow ikaja ikawa northern corridor..!!
Kwenye maamuzi mengi ya eac hasa maamuzi ya tz yalikuwa hayapewi support na nchi 3(K,U,R) rafiki yetu n B tu. Magu baada ya kuingia ilibidi kuirudisha Tanzania kwenye hadhi yake ya EAC. Na MTU pekee wa kutimu naye alikuwa R na Ug. Ikumbukwe tu Kenya anatakuwa kuwa ndiyo baba wa EAC na Tz hawez kukubali hawa jamaa ni manyang'au kabsa..wabinafsi sana..wajuaji sana.Magu kutaka Urafiki na Rwanda n mkakati mzito sana na siyo suala la siasa km wengi mnavyodhani. Na now Tz iko vizuri sana kwenye siasa za A.M.

Narudia tena Tz hawez kuingiliwa kisiasa na Nchi yeyote Africa. Hawawezi. Rwanda hatuna cha kujifunza kwao.. But tuna bandari kwahyo lazma wawe marafiki zetu ilituzipate pesa yao. Rwanda haiwezi kutuwekea Rais Tanzania sisi tunaweza kumuweka Rais R. Rwanda alitaka kuweka Rais Burundi,Tz tulinjinia na kijana wetu NKURU bado yupo Burundi

Tanzania ni silent giant. Bado tunasifa sana duniani. Ukifika duniani unaulizwa kuhusu Kilimanjaro & Zanzibar. Sisi Tanzania kuwa na waburundi au Watusi/wahutu haikwepeki kutokana na wakimbizi na machafuko yaliyotokea.

Utoto huu mitandaoni ebu tuuache.. Hizo Nchi ndogo zipo naked to us. Hazina madhara. We beyond that.Rais anajua anafanya nini:

Kitu ambacho R, wanatuzid ni wale wadada wenye pua mchongoko only that..maendeleo tumewaacha, kila ki2 wapo nyuma kwetu. Acheni kuwa inferior na Nchi nyingine..ebu ijue Tanzania kwanza.
Akili za Kinjektile Ngwale, Risasi kugeuka kuwa maji!,
Kama ukipima uwezo wa nchi kivita kwa kuangalia udogo wake basi Israel itapigwa na DRC Congo,
Halafu hoja hujengwa kwa hoja, na hisia unaposema Hawezi kutuwekea raisi, ambatanisha sababu za kisiasa, siyo kusema hawezi hawezi bila kutwambia wewe umejuaje hawezi!,

Waulize Congo machafuko yao yanaratibiwa na nani, kisha uliza uraia Wa Joseph Kabila na ilikuaje akaingia Congo, Ndo uje kuandika Uzi upya
 
Back
Top Bottom