Utoto bwana

Niliwahi kuficha Kiatu kimoja cha Rafiki yangu sehemu lengo asumbuke then nikamuoneshe Kumbe wakat naficha kuna Mtu aliniona akaiba akaondoka Nacho sasa baada ya Jamaa kusumbuka nikamwambia acha ufala Kiatu chako nilikificha sehemu Fulani ngoja nikakuletee kufika kule bila bila daah niliumbuka nikaunganisha Nyumbani sikurudi
 
Niliwahi kuficha Kiatu kimoja cha Rafiki yangu sehemu lengo asumbuke then nikamuoneshe Kumbe wakat naficha kuna Mtu aliniona akaiba akaondoka Nacho sasa baada ya Jamaa kusumbuka nikamwambia acha ufala Kiatu chako nilikificha sehemu Fulani ngoja nikakuletee kufika kule bila bila daah niliumbuka nikaunganisha Nyumbani sikurudi
Haahaaahaaaa.... ulikomaje?
 
Niliwahi kuficha Kiatu kimoja cha Rafiki yangu sehemu lengo asumbuke then nikamuoneshe Kumbe wakat naficha kuna Mtu aliniona akaiba akaondoka Nacho sasa baada ya Jamaa kusumbuka nikamwambia acha ufala Kiatu chako nilikificha sehemu Fulani ngoja nikakuletee kufika kule bila bila daah niliumbuka nikaunganisha Nyumbani sikurudi
ha hahahahhahaaaaaaa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom