Utofauti wa English na English language kwa wenye Degree ni upi?

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Kule kwenye application kuna masomo mawili haya English na English language, ukichagua English zinakuja Primary Schools na English language zinakuja Secondary School, swali kwa wazoefu, tunaomba ufafanuzi ili tuchague kwa usahihi asante
 
Back
Top Bottom