Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Miaka michache ya hivi karibuni tumekuwa tukisikia ama kuona katika vyombo vya habari kuhusu watu wa huko U.K. kuendelea kufungua utitiri wa matawi ya C.C.M.
Mbona hatuna hayo matawi huku USA esp. Houston? Ama ni njaa na kujipendekeza kumezidi? Inatia kichefuchefu kuona mtu anayekaa ughaibuni esp. UK & USA ambae tunategemea akili yake itakuwa imefunguka na kuelimika akiwa ndio supporter wa CCM ambayo imejaa ufisadi na uvundo!
Ama schedule za maboksi zimewaelemea huko UK? Lini mtaelimika?
So ulitaka wafungue matawi ya CHADEMA ndio ufurahi?? Inaonekana wewe ndio unajipendekeza uonekane unajua sana