NOKIALUMIA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 396
- 275
Kama tittle inavyoeleza Tanzania kumekuwa na madalali wengi mjini wengi wao wapo kimaslahi yao binafsi tena yenye lengo la kumpiga mteja narudia tena kumpiga mteja.
1. Madalali wengi wana tamaaa(greed)
Madalali wengi wana tamaaa. Mtu Ana ndoto ya kuwa na hela kubwa kwenye biashara ya mtu mwingine. Utakuta mwenye gari anataka m10 auze gari yake afu dalali anapost anataka m14 au adi 15 (yaaan kupost tu anajiona anafanya ya maaana sana) wajinga wanapigwa sana. Gari moja inapostiwa na madalali 20 kila mtu anataka bei kulingana na tamaaa zake..
Ivi kwanini madalali msiweke bei halisi za MAGARI afu msipange Ada za udalali?
Dalali mwenye tamaa hauzi gari, gari mwenzio kapost m10. 5 uskute ya boss ni m9. 5
2. Madalali wengi wajuaji. Atakuambia gari imekaza kumbe hajui chochote au gari imeendeshwa na mwanamke. Kumbe uongo mtupu so kuwa makini sana utauziwa kitu mbaya. Adi utawajua mafundi wote kwa majina matatu
3. Madalali wengi, hawajielewi mtu anapost gari afu hajui boss ni nani? Ukihitaji anatumia siku mbili kumtafuta mwenye gari
So kuwa makini kuna ndugu yangu alikua anauza short chassis ya rav4 m7 kila akiingia kwenye page za madalali anakuta dalali kaandika m11 wengine 10.8fixed kuna mwingine m12 akaona huu ushamba akaanza kupost siku hio hio sim kibao kachagua mwenywe mteja. Kaiuza fast sasa madalali week nzima afu alikuwa na shida hatari
Pongez kwenu madalali tumieni akili
1. Madalali wengi wana tamaaa(greed)
Madalali wengi wana tamaaa. Mtu Ana ndoto ya kuwa na hela kubwa kwenye biashara ya mtu mwingine. Utakuta mwenye gari anataka m10 auze gari yake afu dalali anapost anataka m14 au adi 15 (yaaan kupost tu anajiona anafanya ya maaana sana) wajinga wanapigwa sana. Gari moja inapostiwa na madalali 20 kila mtu anataka bei kulingana na tamaaa zake..
Ivi kwanini madalali msiweke bei halisi za MAGARI afu msipange Ada za udalali?
Dalali mwenye tamaa hauzi gari, gari mwenzio kapost m10. 5 uskute ya boss ni m9. 5
2. Madalali wengi wajuaji. Atakuambia gari imekaza kumbe hajui chochote au gari imeendeshwa na mwanamke. Kumbe uongo mtupu so kuwa makini sana utauziwa kitu mbaya. Adi utawajua mafundi wote kwa majina matatu
3. Madalali wengi, hawajielewi mtu anapost gari afu hajui boss ni nani? Ukihitaji anatumia siku mbili kumtafuta mwenye gari
So kuwa makini kuna ndugu yangu alikua anauza short chassis ya rav4 m7 kila akiingia kwenye page za madalali anakuta dalali kaandika m11 wengine 10.8fixed kuna mwingine m12 akaona huu ushamba akaanza kupost siku hio hio sim kibao kachagua mwenywe mteja. Kaiuza fast sasa madalali week nzima afu alikuwa na shida hatari
Pongez kwenu madalali tumieni akili