Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,306
- 1,421
Hivi sasa kuna biashara nyingi sana za michezo ya kubahatisha zimefunguliwa karibu kila sehemu hapa jijini Dar,Je hii inaashiria watu kukata tamaa ya maisha na kuelemea kucheza kamali mda wote? Kamali ni addictive kama madawa ya kulevya je serikali hailioni hilo. Je nani wa kudhibiti biashara hizo ambazo zinaendeshwa hata wakati wa masaa ya kazi.