Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Hakuna mtu mjinga wa kuacha na kuhatarisha kibarua chake na kwenda kutest zali la kuchukua fomu na kugombea Jimbo fulani kwa tiketi ya CCM !
Wengi wanaenda kugombea baadhi ya majimbo wakijua kabisa hawatatoboa , hawatapata kitu.
Ila tayari wanakuwa wameijenga CV na kuingia kwenye system ya CCM na serikali kwa ujumla, ambapo probability ya kupata uteuzi ni rahisi sana hapo baadae.
Vigogo wengi wenye biashara zao na miradi mikubwa wanaenda kugombea (hata wakikosa) ili kupata security.
Mbongo hajawahi kuwa mpumbavu!
Wengi wanaenda kugombea baadhi ya majimbo wakijua kabisa hawatatoboa , hawatapata kitu.
Ila tayari wanakuwa wameijenga CV na kuingia kwenye system ya CCM na serikali kwa ujumla, ambapo probability ya kupata uteuzi ni rahisi sana hapo baadae.
Vigogo wengi wenye biashara zao na miradi mikubwa wanaenda kugombea (hata wakikosa) ili kupata security.
Mbongo hajawahi kuwa mpumbavu!