Tatiz hujajua neno uti manake nn, nimeelezea apo juu hujasoma, uti ni neno la jumla la magonjwa yote yanayoshambulia uretha kibofu na figo, inaweza kua fungus au virus japo ni marachache wanaweza kusababisha malengelenge pia.Uti huwa inawasha?
Mbona hio ni dalili ya fangasi?.
Uti najua ni homa na maumivu chini ya kitovu
UTI ni Urinary Tract InfectionTatiz hujajua neno uti manake nn, nimeelezea apo juu hujasoma, uti ni neno la jumla la magonjwa yote yanayoshambulia uretha kibofu na figo, inaweza kua fungus au virus japo ni marachache wanaweza kusababisha malengelenge pia.
Sjaelewa unapinga au unaongeza, but all in all uko sahh muwasho maranyingi ni fungus lakin fungus wa aina hii akimuingia mwanaume anasumbua kutibu ndoman nikatoa somo jinsi gan nilitibu, kwasab niliknywa dawa zot unazozijua ww za bacteria na fungus, kama una nyongeza sema ww uliponaje watu wafaidike sio Ku challenge uonekan unajua haisaidiiUTI ni Urinary Tract Infection
Inashambulia njia ya mkojo kwenda hadi kwenye figo ndio
Na kwa wanawake njia ya mkojo na uke ni vitu viwili tofauti
Ukiwashwa tibu fungal infection baba usirembe kwa dawa za UTI
Na pia ongezeni usafi na mtumie tissue paper kujiweka wakavu mkitoka msalani
Km infection inajirudia rudiaSjaelewa unapinga au unaongeza, but all in all uko sahh muwasho maranyingi ni fungus lakin fungus wa aina hii akimuingia mwanaume anasumbua kutibu ndoman nikatoa somo jinsi gan nilitibu, kwasab niliknywa dawa zot unazozijua ww za bacteria na fungus, kama una nyongeza sema ww uliponaje watu wafaidike sio Ku challenge uonekan unajua haisaidii
Kiukweli sinywi maji ya kutosha lakini nahisi kama maumivu ya kuchomwachomwa na mkojo kwenye kichwa cha uume kwa ndani, pili Azuma kumbe ni dawa ya gono duhAzuma ni dawa ya gono..
Unajiskiaje mpaka unahisi uti haijapona vizuri ?
Unakunywa maji ya kutosha!?
Punguza ZINAAABaada ya kwenda kupima na kukutwa na uti 34 nilianza kutumia amoxilline kama doze mbili ivi bila mafanikio ya kupona nikaamua kwenda duka la dawa ya uti ya dose ya siku chache nikapewa AZUMA ambayo nimeitumia kwa siku tatu ambayo dose nimemaliza jana usiku lakini nimeishia kupata nafuu kiasi tu lakini nahisi bado uti ipo haijaisha ,au nina uti sugu au AZUMA sio dawa sahihi nimeingizwa mjini au nina uti sugu mana sielewi,NAOMBENI USHAURI MANA NAOGOPA NIDIJESHINDWA KUGEGEDA PAPUCHI NIKIRUDI ARUSHA MANA NIPO RIKIZO SASA HIVI MORO YAPATA MWEZI SASA
Kiukweli sinywi maji ya kutosha lakini nahisi kama maumivu ya kuchomwachomwa na mkojo kwenye kichwa cha uume kwa ndani, pili Azuma kumbe ni dawa ya gono duh
Mkuu naona kama maelezo yako yanajichanganya vile au labda mimi ndo kilaza ?Baada ya kwenda kupima na kukutwa na uti 34 nilianza kutumia amoxilline kama doze mbili ivi bila mafanikio ya kupona nikaamua kwenda duka la dawa ya uti ya dose ya siku chache nikapewa AZUMA ambayo nimeitumia kwa siku tatu ambayo dose nimemaliza jana usiku lakini nimeishia kupata nafuu kiasi tu lakini nahisi bado uti ipo haijaisha ,au nina uti sugu au AZUMA sio dawa sahihi nimeingizwa mjini au nina uti sugu mana sielewi,NAOMBENI USHAURI MANA NAOGOPA NIDIJESHINDWA KUGEGEDA PAPUCHI NIKIRUDI ARUSHA MANA NIPO RIKIZO SASA HIVI MORO YAPATA MWEZI SASA
ugegede ile ule mtandao pendwa