Uthibitisho wa hali tete ya uchumi: Benki hali mbaya mikopo isiyolipika yafika 51%, wananchi washindwa kulipa madeni

View attachment 621768 Alafu zitto anakamatwa eti katoa data za uwongo hii nchi inaelekea Zimbabwe
Undertaker upo sawa kweli? Unaweza chora relation hapo
Unajua kabisa kuna watu hewa walikua na mikopo na sahv hawana afu unashangaa pale bank znaposema mikopo halipki na unamajbu kuwa walikopesha watu hewa...

Huenda uchumi ukawa umedorola ila hicho c kipmo cha uchumi wa nchi aliyeshindwa kulpa mkopo ni mkopaj c nchi sasa hali ya watu kushindwa kulipa mikopo c uchumi wa nchi na wananchi
 
Undertaker upo sawa kweli? Unaweza chora relation hapo
Unajua kabisa kuna watu hewa walikua na mikopo na sahv hawana afu unashangaa pale bank znaposema mikopo halipki na unamajbu kuwa walikopesha watu hewa...

Huenda uchumi ukawa umedorola ila hicho c kipmo cha uchumi wa nchi aliyeshindwa kulpa mkopo ni mkopaj c nchi sasa hali ya watu kushindwa kulipa mikopo c uchumi wa nchi na wananchi

Mikopo hewa kwa watumishi 10,000? Nchi hii walio katika biashara ni wangapi kati ya watanzania walio kazini zaidi ya mil 40? Hiyo idadi haizidi bil 40 ya mikopo mibaya. Je hizo biashara huzioni zilizofungwa
 
Nani kasema nchini kuna njaa, Serikali tu inayoweza kusema kuna njaa!!!
 
Mikopo hewa kwa watumishi 10,000? Nchi hii walio katika biashara ni wangapi kati ya watanzania walio kazini zaidi ya mil 40? Hiyo idadi haizidi bil 40 ya mikopo mibaya. Je hizo biashara huzioni zilizofungwa
Hata biashara ni kwel zmeyumba mfano maduka yaliyobomolewa morogoro road nk ila hyo c hali ya uchumi wa nchi ni wananchi ingawa kuna uhusiano hapo.


Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Undertaker upo sawa kweli? Unaweza chora relation hapo
Unajua kabisa kuna watu hewa walikua na mikopo na sahv hawana afu unashangaa pale bank znaposema mikopo halipki na unamajbu kuwa walikopesha watu hewa...

Huenda uchumi ukawa umedorola ila hicho c kipmo cha uchumi wa nchi aliyeshindwa kulpa mkopo ni mkopaj c nchi sasa hali ya watu kushindwa kulipa mikopo c uchumi wa nchi na wananchi
Wewe jamaa umesomea uchumi kweli? Ukisikia NPL loan usidhani wakopaji ni hao wafanyakazi hewa. Hao ni punje ya haradani tu katika tasnia ya mikopo. Kwanza jiulize, wakopaji watumishi huwa wanaweka nyumba kama collateral?

Kimsingi hapo inazungumziwa mikopo mikubwa iliyokuwa directed kwenye uzalishaji na sasa uzalishaji umeyumba kwakiwa walaji hawapo. Sio mikopo ya vitz (ingawa pia ni sehemu). Benki inachoweza kufanya ni kupiga mnada hizo collateral, lakini je wanunuaji wako wapi?

Economic crisis nyingi huanzia huko kwenye financial crisis hususan lending facilities.
 
Wewe jamaa umesomea uchumi kweli? Ukisikia NPL loan usidhani wakopaji ni hao wafanyakazi hewa. Hao ni punje ya haradani tu katika tasnia ya mikopo. Kwanza jiulize, wakopaji watumishi huwa wanaweka nyumba kama collateral?

Kimsingi hapo inazungumziwa mikopo mikubwa iliyokuwa directed kwenye uzalishaji na sasa uzalishaji umeyumba kwakiwa walaji hawapo. Sio mikopo ya vitz (ingawa pia ni sehemu). Benki inachoweza kufanya ni kupiga mnada hizo collateral, lakini je wanunuaji wako wapi?

Economic crisis nyingi huanzia huko kwenye financial crisis hususan lending facilities.
Cjausoma ila naelewa kdogo.
Umeeleza vzur kwamba mikopo inayofanya vbaya niya frm mashirika ya biashara ambayo mtoa uzi hajasema nashukuru umewaza huko
 
Wewe jamaa umesomea uchumi kweli? Ukisikia NPL loan usidhani wakopaji ni hao wafanyakazi hewa. Hao ni punje ya haradani tu katika tasnia ya mikopo. Kwanza jiulize, wakopaji watumishi huwa wanaweka nyumba kama collateral?

Kimsingi hapo inazungumziwa mikopo mikubwa iliyokuwa directed kwenye uzalishaji na sasa uzalishaji umeyumba kwakiwa walaji hawapo. Sio mikopo ya vitz (ingawa pia ni sehemu). Benki inachoweza kufanya ni kupiga mnada hizo collateral, lakini je wanunuaji wako wapi?

Economic crisis nyingi huanzia huko kwenye financial crisis hususan lending facilities.

Wakishindwa na hapa kukuelewa nitaamini vichwa vyao vimejaa kinyesi tu
 
Kusema uchumi umeshuka kwa mtazamo wa hali inavyokwenda/unavyoona si tatizo bali kubuni namba/ takwimu za uwongo ndio tatizo.
....The truth will always remain the truth, upake poda, mafuta, uziite takwimu za uwongo but the truth is the truth.
 
Hivi kale kawimbo katamu ka wana ccm kuwa 'wapinzani wataisoma namba' mbona siku hizi hawakaimbi tena? na bado, mtaisoma kuliko hata wapinzani! weraweraaaaa! baba jesca ongeza mwendoo!
 
Wananchi wanapaswa kukopa na kijipanga kulipa deni kutokana biashara aliyoanzishwa na mkopo.

Wengi walioshindwa kulipa deni ni wale waliokopa na kutarajia kulipa deni kwa mishe za dili.
 
Back
Top Bottom