UTHIBITISHO: Simu inatabiri vizuri mvua kuliko TMA, TMA inakula hela za bure

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
TMA waliitisha press kabisa kuhusu mvua zinazoendelea hapa Dar na kusema mvua hizi zitaendelea hadi Jumapili

Ila kwenye simu yangu, nikacheki utabiri nikaona tofauti na wa TMA inasema Jumapili, Jumatatu mvua itakuwepo kama kawaida, Jumanne(leo) ndio itakata

Nika save screenshot ya utabiri wa Google nikasema ngoja nilinganishe na wa TMA nione wapi wapo sahihi?

Matokeo yake mmeyaona leo wenyewe wakuu, utabiri wa TMA umekuwa wa uongo wakati wa simu yangu umekuwa wa kweli


Hii ni screenshot niliyoichukua Jumamosi ikionesha mvua zitakata Jumanne (Tuesday) ambayo ndio leo pamoja na kesho
1097834
,




Huu ni Utabiri wa TMA walioutoa kwenye mkutano wao na waandishi na kusema mvua zitakata Jumapili

1097832
 
TMA walisema wikiendi Jumapili hapa Dar mvua zitakata, waliitisha press kabisa
ila kwenye simu yangu, nikacheki utabiri nikaona tofauti na wa TMA inasema Jumapili, Jumatatu mvua itakuwepo kama kawaida, Jumanne(leo) ndio itakata

Nika save screenshot ya utabiri wa. Google nikasema ngoja nilinganishe na wa TMA nione wapi wapo sahihi?

Matokeo yake mmeyaona leo wenyewe wakuu, utabiri wa TMA umekuwa wa uongo wakati wa simu yangu umekuwa wa kweli
View attachment 1097834,

View attachment 1097832 ila kwenye simu yangu, nikacheki utabiri nikaona tofauti na wa TMA inasema Jumapili, Jumatatu mvua itakuwepo kama kawaida, Jumanne(leo) ndio itakata

Nika save screenshot ya utabiri wa. Google nikasema ngoja nilinganishe na wa TMA nione wapi wapo sahihi?

Matokeo yake mmeyaona leo wenyewe wakuu, utabiri wa TMA umekuwa wa uongo wakati wa simu yangu umekuwa wa kweli
Mkuu kumbe ni wewe, Ahsante sana tumekufahamu kupitia screenshot, hatari fire
 
Wabongo ni mabingwa wa kubeza taaluma za wenzao.
Mkuu, sasa kama simu zetu zinatoa accurate weather forecast zaidi ya hao TMA, sisi tusemeje tena. Binafsi naungana na mtoa hoja, huenda ni vifaa/teknolojia au vinginevyo ila hao TMA wameshindwa kabisa kutoa utabiri unaoendana na ukweli.
 
Mkuu, sasa kama simu zetu zinatoa accurate weather forecast zaidi ya hao TMA, sisi tusemeje tena. Binafsi naungana na mtoa hoja, huenda ni vifaa/teknolojia au vinginevyo ila hao TMA wameshindwa kabisa kutoa utabiri unaoendana na ukweli.
Mko sawa
 
Wabongo ni mabingwa wa kubeza taaluma za wenzao.
Mkuu, sasa kama simu zetu zinatoa accurate weather forecast zaidi ya hao TMA, sisi tusemeje tena. Binafsi naungana na mtoa hoja, huenda ni vifaa/teknolojia au vinginevyo ila hao TMA wameshindwa kabisa kutoa utabiri unaoendana na ukweli.
Huyo jamaa mi mwenyewe sijamuelewa
Nimebeza vipi taaluma yao. Mi mwenyewe ni mwanataaluma na naheshimu sana wanataaluma

Ukikosoa kazi ya mtu aliyokwisha imaliza na kuwaletea nyie watumiaji, hujabeza taaluma yake.

Kubeza taaluma ya mtu ni kumwingilia mtu kabla hajaimaliza kazi na wewe unamkosoa anavyoifanya

Mfano, kama mhandisi anajenga ghorofa lako ukaenda kumkosoa wakati alifanya vipimo vyake na kuweka structures zinazotakiwa, hapo umeingilia taaluma yake

Ila akikukabidhi ghorofa halafu nyufa zikaanza kuonekana, hapo una haki ya kumkosoa kuwa kazi yako ni mbovu

TMA sijawakosoa namna wanavyofanya utabiri wao (taaluma), nimekosoa utabiri wao waliotuletea (kazi/product)
 
TMA waliitisha press kabisa kuhusu mvua zinazoendelea hapa Dar na kusema mvua hizi zitaendelea hadi Jumapili
Ila kwenye simu yangu, nikacheki utabiri nikaona tofauti na wa TMA inasema Jumapili, Jumatatu mvua itakuwepo kama kawaida, Jumanne(leo) ndio itakata
Nika save screenshot ya utabiri wa Google nikasema ngoja nilinganishe na wa TMA nione wapi wapo sahihi?
Matokeo yake mmeyaona leo wenyewe wakuu, utabiri wa TMA umekuwa wa uongo wakati wa simu yangu umekuwa wa kweli
Hii ni screenshot niliyoichukua Jumamosi ikionesha mvua zitakata Jumanne (Tuesday) ambayo ndio leo pamoja na kesho
View attachment 1097834,
Huu ni Utabiri wa TMA walioutoa kwenye mkutano wao na waandishi na kusema mvua zitakata Jumapili
View attachment 1097832
Ninakumbuka Kikwete akiwa rais enzi hizo aliwahi kuwasema TMA na utabiri wao wa jumlajumla, tulishuhudia walikanusha kuhusu uwepo wa kimbunga lakini siku ya tatu wakathibitisha uwepo wa kimbunga walichokanusha. Utabiri wa TMA huwa hautaji eneo husika bali unataja nchi!
 
Back
Top Bottom