Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Kuna watu wameshindwa elewa kuwa hayo majina "feki" ya Nchemba ndo aliyofanyia mitihani yote na kupata vyeti vyake, ni nini kigumu hapa kuelewa? Sioni tatizo lolote maana vyeti vyote ni halali yake kwa jina alilotumia.
 
Mkuu Iparamasa, ni kweli kutumia jina la mtu mwingine ni kufoji ila hayo majina ya Mwigulu Nchemba sio majina ya mtu yoyote ni just given names, kama alivyoeleza mwenyewe, siku mtoto anapoandikishwa shule huwa kuna fomu ya majina ya wazazi, kwenye fomu zile za kumuandikisha shule huyu kijana wa Kinyiramba Lameck Madelu Mkumbo, wazazi wake walimuandikisha kwa majina yao kabisa ya Kinyiramba ila wakaomba utawala wa shule kumuandikisha mtoto wao kwa given names za Nesi wa Kisukuma Mwigulu Nchemba na hapo hakuna jinai yoyote kwa sababu ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtu unaruhusiwa kutumia jina lolote mfano Pasco wa JF ni Mashokolokubangashe as long as sio impersonation ya Mashokolokubangashe original.
Pasco
Mkuu Pasco, somites unajishushiaga credit humu. Hivi hujui kua hayo majina bandia ni kwamba Mh alikua akijitetea tu? Yaani mzazi umpeleke mwanzo shule halafu uombe walimu wamwandikishe kwa majina bandia? Walikua walimu gani hao?Hapa ni blaa blaa nyingi ila jamaa alimaliza shule akafeli darasa la saba akaenda sekondari kwa jina mtu. Tuulize sisi tuliokulia jirani na shule ya msingi aliyosomea! Tena wenzetu wazazi wetu wamefundishia shule alikosoma tunalijua hili sana tu sema hua tunapiga pini tu.
 
Pasco acha kujishushia hadhi kirahisi namna hii.
Kosa la mwigulu siyo uhalali wa majina!!
Laa hasha, wala hatugombani na ubora wa akili yake kimasomo.
Tunapambana na UDANGANYIFU.
Sisi tunafahamu kuwa mtu ajulikanaye kwa jina la Lameck Mkumbo alifanya mtihani wa darasa la saba mwaka (.. ) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (.....) akafeli
Halafu mtu yule tunayemfahamu kwa jina la Lameck Mkumbo anafanya tena mtihani wa darasa la saba mwaka (.....) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (....) this time kwa jina la Mwigulu Nchemba, Akafaulu!!!!!

AMELIONGOPEA TAIFA.
Anaweza kuwaongopea wanyaturu
Hawezi na haitawezekana awaongopee wanyiramba wa kata nzima ya kyengege!!!!!

Kwa ucha MUNGU wao, wakazi hawa dhamira zinawasuta kuona huu mwendelezo wa kulidanganya taifa.

Labda kama uongo sio kosa kwa namna yoyote.

Sikutaja majina ya shule na miaka kama wito kwa Mwigulu Aliombe radhi taifa kwa uongo ule
TAIFA KAMA TAIFA LIKO TAYARI KUMSAMEHE ONCE AND FOR ALL.

Wanabodi,
Katika zoezi la kusaka vyeti bandia, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na majina bandia.

Cheti bandia ni cheti ambacho ama hakipo kabisa hivyo kimetengezwa cheti fake kwa forgery ama ni cheti cha kweli lakini anayekitumia sii mwenyewe mwenye cheti halisi, hivyo kufoji cheti cha mtu mwingine, hili ni kosa kubwa la jinai na huu ni wizi!.

Jina bandia ni kutumia majina ya kuunga unga ambayo sio majina yako halisi, lakini aliyeingia darasani kusoma ni wewe, aliyehitimu ni wewe, hivyo hicho cheti ulichokipata ni cheti halali na sio cheti bandia ila jina ndilo jina bandia.

Nimesoma utetezi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba kuhusu tuhuma za kuwa na cheti bandia, nimejiridhisha kabisa tena pasi shaka kuwa vyeti vya Mhe. Mwingulu Nchemba sio vyeti fake ila majina ya Mwigulu Nchemba ndilo jina bandia.

Sio kila jina bandia ni forgery, kuna majina bandia yanayoitwa Nick Names sio forgery bali ni just given names. Given names hizo zinapokuwa registered kwenye vyeti, vyeti hivyo ni halali ila jina la mwenye cheti ndilo jina bandia ambalo halina kosa lolote kisheria.

Uthibitisho huu ni kufuatia utetezi huu wa Mhe. Mwingulu Nchemba umethibitisha jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia la mtu halisi aitwae mwenye given name ya Lameck Madelu Mkumbo ambaye hata majina hayo,hakuna jina lolote la wazazi wake wala jina la ukoo wake, kama anavyojieleza yeye mwenyewe.


Mkuu Mhe. Mwigulu, kwa vile hili bandiko nimelikutia page 33, na sijaweza kusoma mabandiko yate ya nyuma, hivyo siwezi kujua kama ulijibu haya, ila kwanza kwa heshma na taadhima, nakupongeza sana kujitokeza kujibu tuhuma, ila very unfortunately, majibu yako, hayajitoshelezi kabisa!, hakuna kitu chochote ulichojibu hapa, you leave more questions than answers and there is something fishy!.

Majina yana formula ya majina, na hayawezi kuijiibukia tuu hivi hivi, na formula hiyo ni universal, dunia nzima.

Jina lina given name, yaani jina ulilopewa wewe, hili given name linaweza kuwa moja au hata kumi, haijalishi, kwenye given name, ni lile jina unaloitwa, liwe la utoto, ubatizo, etc, Kiingeza linaitwa fast name!.

Jina la pili, ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako, na hapa hakuna excuse, kama mwanzo kwenye given name, umetumia jina la nyumbani, la kilugha, then jina la pili lazima liwe jina la ubatizo, ukitangulia na jina la ubatizo, then jina la pili au liwe ni jina la kwanza, la mzazi wako, au ukitumia fast name ya majina mawili yote ya kwako, then jina la tatu ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako!, na jina la nne ni lazima liwe ni jina la ukoo wenu yaani sir name.

Kwenye majina yako, sijaweza kuona jina la mzazi na jina la ukoo, huwezi kutumia majina yote ya given name bila jina la mzazi na jina la ukoo!.

Naomba wenye acess na immigration, fatulieni DN ya Mhe. Mwigulu Mchemba muone imeandikwaje, kwa sababu bila jina la mzazi na jina la ukoo mtu huwezi kupata passport kwa majina ya kuokotezwa!.

This is the begining of opening a pandora box, we have to reach to the bottom of this, ila asante sana kujitokeza na kujibu, kwa sababu uwongo, ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa hugeuka kuwa ni ukweli.

Kwa kuwasaidia wengine wasio jua, hakuna kosa lolote la jinai kujiita jina lolote la bandia na kuitumia popote.

Japo jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia ila vyeti vyake vyote ni vyeti halali.

Kutumia jina bandia, given name sio kosa kisheria na hakuna jinai yoyote! .

Hata mimi Pasco wa JF naweza kuisajili kama Mashokolokubangashe na nikatambulika kama Mashokolokubangashe na vyeti vyangu vyote vikasomeka Mashokolokubangashe na nikawa sijafanya kosa lolote la jinai, ila ikitokea kwenye ujazaji wa fomu zozote za kisheria kama hati ya kusafiria au cheti cha kuzaliwa lazima nitaonyesha majina halisi ya wazazi wangu, na ikitokea kule nako nimejiorodhesha jina la Mashokolokubangashe kuwa ni moja ya majina ya wazazi wangu, then hivyo inageuka forgery, cheating na ni kosa la jinai.

Hivyo natoa wito kwako wanaomtuhumu Mwigulu kudanga wapate uthibitisho toka NIDA na Uhamiaji, watayaona majina halisi wazazi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba.

Finally, wewe mwana Ilboru mwenzangu, ujege mara moja moja humu jf sio mpaka tuu kuja kujibu tuhuma, na ile shule iliokufikisha hapo uikumbukege!.

Asante.

Pasco
Rejea, kati ya wagombea wote wa urais wa CCM, Mhe. Mwingulu, ndie aliye ni impress sana kuliko wote kwa kuwa the most genuine kumbe...
Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President ...
 
Mkuu Iparamasa, ni kweli kutumia jina la mtu mwingine ni kufoji ila hayo majina ya Mwigulu Nchemba sio majina ya mtu yoyote ni just given names, kama alivyoeleza mwenyewe, siku mtoto anapoandikishwa shule huwa kuna fomu ya majina ya wazazi, kwenye fomu zile za kumuandikisha shule huyu kijana wa Kinyiramba Lameck Madelu Mkumbo, wazazi wake walimuandikisha kwa majina yao kabisa ya Kinyiramba ila wakaomba utawala wa shule kumuandikisha mtoto wao kwa given names za Nesi wa Kisukuma Mwigulu Nchemba na hapo hakuna jinai yoyote kwa sababu ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtu unaruhusiwa kutumia jina lolote mfano Pasco wa JF ni Mashokolokubangashe as long as sio impersonation ya Mashokolokubangashe original.
Pasco
kachukua jina la dactari kasome tena.


swissme
 
Mkuu Pasco, somites unajishushiaga credit humu. Hivi hujui kua hayo majina bandia ni kwamba Mh alikua akijitetea tu? Yaani mzazi umpeleke mwanzo shule halafu uombe walimu wamwandikishe kwa majina bandia? Walikua walimu gani hao?Hapa ni blaa blaa nyingi ila jamaa alimaliza shule akafeli darasa la saba akaenda sekondari kwa jina mtu. Tuulize sisi tuliokulia jirani na shule ya msingi aliyosomea! Tena wenzetu wazazi wetu wamefundishia shule alikosoma tunalijua hili sana tu sema hua tunapiga pini tu.

unajua kufeli la saba akafaulu form 4 sio ishu,ishu ni ufaulu la saba ufeli form four, kama alipasua hakuna shida yoyote...japo alifanya udanganyifu..
 
Okoso majina ni kitu given, mtu uko huru kutumia given names zozote, na kwenye registration unaruhusiwa kuji register kwa majina yoyote ili mradi kwenye ile fomu majina halisi ya wazazi wako lazima yawepo na hakuna sheria ya kulazimisha kuyatumia ila Polisi, Uhamiaji na Nida ni lazima majina ya wazazi yawepo na yatajwe with given names hata kama ni majina kumi. Hivyo ukweli wa majina halisi ya wazazi wake yapo shule alipoandikishwa, yapo immigration na Nida ambayo yanaonyesha Mwigulu Nchemba ni given names.
Pasco
Huja address swali langu kwa nn MTU ana opt Ku acha kutumia majina yake sahihi anatumia bandia? Anaficha nn? Na hayo majina bandia na kiuhalisia ni ya nani au yamepatikanaje?? Mimi ni Osokoni naona umeshanipa jina bandia Mkuu Pasco
 
Mwigulu alifeli darasa la 7 akatumia cheti cha mtu aliefaulu darasa la 7 kujiendeleza. Kwahiyo ana cheti bandia na majina bandia.
Hakuna uthibitisho wa hili hiyo 1984 ni juzi tuu kama ni kweli tungeishawasikia waliosoma nae japo ile kuacha shule kwenda kuchunga mbuzi kisha kurudi kurudi shule ni kali. Lazima taarifa zake zote zipo kwa sababu mtu akiacha shule hufukuzwa, kurudishwa sio issue ndogo hivyo data lazima zipo.
Pasco
 
Hakuna uthibitisho wa hili hiyo 1984 ni juzi tuu kama ni kweli tungeishawasikia waliosoma nae japo ile kuacha shule kwenda kuchunga mbuzi kisha kurudi kurudi shule ni kali. Lazima taarifa zake zote zipo kwa sababu mtu akiacha shule hufukuzwa, kurudishwa sio issue ndogo hivyo data lazima zipo.
Pasco

f69377dcef34bc88463f029bdd4da5ca.jpg
kafanya tukio kama ili. Najua umelipwa ili umtetee.
 
Pasco acha kujishushia hadhi kirahisi namna hii.
Kosa la mwigulu siyo uhalali wa majina!!
Laa hasha, wala hatugombani na ubora wa akili yake kimasomo.
Tunapambana na UDANGANYIFU.
Sisi tunafahamu kuwa mtu ajulikanaye kwa jina la Lameck Mkumbo alifanya mtihani wa darasa la saba mwaka (.. ) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (.....) akafeli
Halafu mtu yule tunayemfahamu kwa jina la Lameck Mkumbo anafanya tena mtihani wa darasa la saba mwaka (.....) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (....) this time kwa jina la Mwigulu Nchemba, Akafaulu!!!!!

AMELIONGOPEA TAIFA.
Anaweza kuwaongopea wanyaturu
Hawezi na haitawezekana awaongopee wanyiramba wa kata nzima ya kyengege!!!!!

Kwa ucha MUNGU wao, wakazi hawa dhamira zinawasuta kuona huu mwendelezo wa kulidanganya taifa.

Labda kama uongo sio kosa kwa namna yoyote.

Sikutaja majina ya shule na miaka kama wito kwa Mwigulu Aliombe radhi taifa kwa uongo ule
TAIFA KAMA TAIFA LIKO TAYARI KUMSAMEHE ONCE AND FOR ALL.

eeeeehhhh hatari sana, watanzania hawapendi ujinga asee
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom