Uthibitisho humu humu JF mgao sugu wa umeme enzi za awamu ya tano

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,634
28,780
Mzuka wanajamvi.

Baadhi yenu msijifanye mmesahau. Bei ya vitu vilipanda kiholelaholela tuu mafuta ya kula, sukari na bidhaa nyingi tu. Kwa maksud na dharau na matusi akaliua soko la korosho na tukapoteza matrillion. Hela haikuwepo mtaani. Na wananchi kutukanwa na kudharauliwa kwenye awamu iyo FEDHULI na OENEVU haijawahi tokea.

Makazi ya watu kubomolewa kiholela na vyombo vya habari kukatazwa na kutishwa kutangaza. Watu tuliishi kwa hofu na vitisho. Angalau basi licha ya kutokuwa wawazi wangedeliver lakini wapi.

Sasa hivi kumeibuka na katabia flani kakukeraa na kuudhi na kanashika mizizi kwa kasi kupitia mgao wa umeme eti mwendazake aliudhibit na wanalazimisha kichiz na kumpa sifa za kijinga. Aliudhibit wapiii? Wakati humu humu JF kulikuwa na mada lukuki watu wakilalamika mgao wa umeme awamu hiyo onevu?

Licha ya kubana vyombo vya habari kutangaza mgao wa umeme lakini JF be the first to know and where we dare to talk freely and openly mada zilikuwa zinaletwa.

Na ushahidi ni huu. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Umeme wa Tanesco: Rais Magufuli anajua kinachoendelea? | JamiiForums
 
Walikuwa na msemo wao ha makonda (kifutu) "Kufa hamtakufa ila cha moto mtaona"
 
Two wrongs do not make a right! Nyie ndio vijana wa watu wanapotea mnasema mbona mwaka fulani walikuwa wanapotea. Like wtf?!!
Nilijua tu GT utaibuka. The only problem with you you are emotional.
 
Maiti zinazidiana kunuka..., hili la Tanesco..., Tangia huyu Makamba aingie hali imekuwa sio hali..., huenda ingawa na ukame umechangia / utachangia ila all in all things are not as they should be...
 
Awamu ya tano nimekaa songea umeme ulikua hukatiki kizembe na ukikata fasta unaludi,,, awamu hii ata ukifatilia humu thread za umeme kukatika zipo nyingi sana na kila kona ya nchi ni malalamiko Kwanini kwenye ukweli tusiseme ukweli tunakuwa wanafiki kila kitu kuponda?
 
Mzuka wanajamvi.

Baadhi yenu msijifanye mmesahau. Bei ya vitu vilipanda kiholelaholela tuu mafuta ya kula, sukari na bidhaa nyingi tu. Kwa maksud na dharau na matusi akaliua soko la korosho na tukapoteza matrillion. Hela haikuwepo mtaani. Na wananchi kutukanwa na kudharauliwa kwenye awamu iyo FEDHULI na OENEVU haijawahi tokea.

Makazi ya watu kubomolewa kiholela na vyombo vya habari kukatazwa na kutishwa kutangaza. Watu tuliishi kwa hofu na vitisho. Angalau basi licha ya kutokuwa wawazi wangedeliver lakini wapi.

Sasa hivi kumeibuka na katabia flani kakukeraa na kuudhi na kanashika mizizi kwa kasi kupitia mgao wa umeme eti mwendazake aliudhibit na wanalazimisha kichiz na kumpa sifa za kijinga. Aliudhibit wapiii? Wakati humu humu JF kulikuwa na mada lukuki watu wakilalamika mgao wa umeme awamu hiyo onevu?

Licha ya kubana vyombo vya habari kutangaza mgao wa umeme lakini JF be the first to know and where we dare to talk freely and openly mada zilikuwa zinaletwa.

Na ushahidi ni huu. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Umeme wa Tanesco: Rais Magufuli anajua kinachoendelea? | JamiiForums
Umepuyanga....
Wafuta Legacy ya Jiwe naona sasa mmeishiwa hadi mnaandika mataputapu kama ya huyu wa leo. Tulieni Vizuri huko Makunduchi
 
Jiwe kawa madarakani kwa zaidi ya miaka mitano ila kuna uzi mmoja wa malalamiko ya kukatika kwa umeme. Hebu leta nyuzi za malalamiko ya kukatika kwa umeme kwa mwaka 2022 tu kama hazijafika 10 huku mwaka ndo kwanza una siku 20
 
Back
Top Bottom