Uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya wavuja, Luhanjo atengeneza mtandao wake

Jadilini hoja ya kuvuja kwa huo uteuzi na si walioteuliwa ni aibu sana sana kuwa na watu wambea mbea ikulu enzi ya mwalimuuu dah yaani kulikuwa na full discipline ndo mana kila kitu kilikuwa kinaonekana kipya na mtu akivujisha siri anatoswa mbaya nakumbuka mwalimu alikuwa amteue malecela kuwa waziri mkUu alimuita kwanza na kumjulisha badala ya jamaa kukaa kimya akaanza na maandalizi ya sherehe na kuwajulisha watu kilichompata hadi leo hasahau alitoswa mbaya hii ndo discipline inayotakiwa katika serikali kwa wavujisha siri!
 
kwa mtazamo wangu hao wote walotajwa hapo juu ni viongozi wazuri. sigala, makweta, mwaluosi, etc. sie ni wapenda maendeleo katu hatutaki ya mwakipesile na
mwakyembe yatokee ktk hii mikoa mipya. wananchi wa maeneo husika wanataka maendeleo na si visasi.
Haiwezekani ukawa"serious" kwamba wazee Makweta na Mzee Mwailosi wanaweza kwa umri wao kuwa viongozi wa serikali ya mkoa. Waachwe wale Pension
 
Back
Top Bottom