Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
....Hoja ndogo ya mwisho kuhusu suala hili. Sio tu kwamba Mh..Rais Magufuli amekiuka Katiba na Sheria ya Uchaguzi kujaza makada wa CCM kwenye uongozi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa, bali pia katika kufanya hivyo, Rais amenyakua madaraka yasiyokuwa yake.
Sheria yetu ya Utumishi wa Umma imeweka wazi utaratibu na mamlaka ya kuteua wakurugenzi wa Halmashauri hizo. Mamlaka hayo ni ya Tume Kuu ya Utumishi wa Umma, kwa kupitia Tume ya Utumishi wa Serikali za Mitaa.
Na wanaotakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa Halmashauri hizo ni watu walioko kwenye utumishi wa umma, sio makada wa CCM waliokosa ubunge. Kama hili nalo halieleweki kwa akina Mwigulu Nchemba basi tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.
Sheria yetu ya Utumishi wa Umma imeweka wazi utaratibu na mamlaka ya kuteua wakurugenzi wa Halmashauri hizo. Mamlaka hayo ni ya Tume Kuu ya Utumishi wa Umma, kwa kupitia Tume ya Utumishi wa Serikali za Mitaa.
Na wanaotakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa Halmashauri hizo ni watu walioko kwenye utumishi wa umma, sio makada wa CCM waliokosa ubunge. Kama hili nalo halieleweki kwa akina Mwigulu Nchemba basi tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.