Florida Pangs
Member
- Mar 31, 2017
- 46
- 18
Wabunge 8 wa Viti Maalim walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kupitia Chama cha Wananchi (CUF), imebainika kuwa wameteuliwa kwa kuzingatia ibara ya 78 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vifungu vya 86A, 86A NA 78 (4) vya cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi sura ya 343, tofauti na kauli iliyotolewa kwamba walioteuliwa siwo.....