Uteuzi wa vingozi wa vyombo nyeti ukamilishwe kupitia bunge

Fredrick Sanga

JF-Expert Member
Jan 27, 2011
3,153
697
Baada ya kuangalia yanayotoke bungeni na katika vyombo mbalimbali vya serikali, Naona kama kuna Uoga wa utendaji wa vingozi wa vyombo nyeti vya serikali na hivyo kuathiri ufanisi wa utendaji wa serikali kwa ujumla. Viongozi wa vyombo nyeti kama TISS, Waziri Mkuu, Takukuru, Jaji Mkuu, Msajili wa Vyama, Mkurugenzi Tume ya Uchaguzi NK, Wanateuliwa na serikali kupitia Raisi. Nafikiri Raisi angependekeza majina matatu bora na kuyapeleka Bungeni kwa uteuzi, na Raisi asiwe na mamlaka ya kuwaondoa, ila kwa bunge kuridhia.

Hii itawapa nguvu za kutenda kazi kitaaluma zaidi, na wawe wanariport kwenye kamati za bunge, ili zichambuliwe na kupelekwa kwa raisi kwa ajili ya utekelezaji. Hii itaondoa suala la kulindana. Tatizo letu ni kuiga kila kitu ambacho mkoloni alituachia, hii inaweza kuleta wakoloni weusi. Wateja hivi vyombo ni umma na sio watawala kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni. Kwa mfano Umma una haki ya kujua aina fulani ya taarifa za kiusalama, hasa zile za uhujumu, hata kupitia magazetini, lakini TISS haiwezi kwa sasa kufanya hivyo.

Riport hizi; kama ya uuzaji wa mlima wa kiwira, vitalu, EPA, Tanesco NK, ni mifano hai ambayo haiitaji kungijea GAG au Kamati za bunge, kulipua mambo. Mifumo yetu inafanya hivi vyombo viwe butu. TAKUKURU, POLISI, MAHAKAMA, TIIS nakadhalika wamekuwa wakiegemea kwa watawala kuliko wananchi. Na mara nyingine hata kuegemea katika chama fulani. Kumbuka leo CCM, Kesho CUF, Keshokutwa TLP au CDM, hawa watachanganyikiwa wasipojengewa mfumo mzuri.

Hii itafanya viongozi wakuu wa nchi kutafakari mbele ya safari zao za uongozi. Na watawajibika na kupendwa zaidi na wananchi.

Samahani, haya ni maono ya baadaye, maana nahisi wajukuu watachapa viboko makaburi yetu.
 
Mkuu umenena lakini kizazi hiki kinachohofia utawala wao kuondoshwa madarakani watakuelewa? Marehemu Baba wa Taifa aliwahi kusema tuna viongozi wa ajabu sana, wanaochukua mambo ya kijinga yaliyofanywa na uongozi uliopita na kuacha yale ya maana.
 
Mkuu hayo uliyoyasema ndio yanatakiwa yaingie kwenye katiba mpya. Hii itawapa hao viongozi security of tenure na kuwaondolea uoga wa kujiuliza nikifanya hivi si naweza kugutwa kazi. Wenzetu Kenya wamefika huko sisi ndio kwnza tunaanza mchakato wa Katiba Mpya.
 
Mkuu hayo uliyoyasema ndio yanatakiwa yaingie kwenye katiba mpya. Hii itawapa hao viongozi security of tenure na kuwaondolea uoga wa kujiuliza nikifanya hivi si naweza kugutwa kazi. Wenzetu Kenya wamefika huko sisi ndio kwnza tunaanza mchakato wa Katiba Mpya.

Suala ni kwamba vyombo vyote vinatakiwa kuutumikia umma kwanza, halafu kuwasaidia viongozi kuutumikia umma. Kwa sasa nahisi kama vinatumikia kikundi fulani teule. Hii ni hatari. Leo unaweza kuwa kwenye kundi teule, lakini kesho usiwepo. Na waswasi sana na stability ya nchi katika hizi structure za kikoloni. Hata ukoloni wenyewe ulishashindwa.
 
Suala ni kwamba vyombo vyote vinatakiwa kuutumikia umma kwanza, halafu kuwasaidia viongozi kuutumikia umma. Kwa sasa nahisi kama vinatumikia kikundi fulani teule. Hii ni hatari. Leo unaweza kuwa kwenye kundi teule, lakini kesho usiwepo. Na waswasi sana na stability ya nchi katika hizi structure za kikoloni. Hata ukoloni wenyewe ulishashindwa.

Mawazo yako ni mazuri na yanafaa kupelekwa na wewe mwenyewe kwenye tume ya kuandaa katiba mpya inayoongozwa na Sinde Warioba!!
 
Mawazo yako ni mazuri na yanafaa kupelekwa na wewe mwenyewe kwenye tume ya kuandaa katiba mpya inayoongozwa na Sinde Warioba!!

Hawa tume wameweka vipengele vya kufunga watu, na mafaini nisiyoweza kulipa. Sasa wasije wakanigeuka huko. Mimi ni hapa hapa JF pananitosha, mpaka watakapoondoa hivyo vitisho.
 
wenzetu wakenya rais akiteua hovyo labda kiburudisho chake,kama hajafanyiwa vetting wabunge wanapiga chini uteuzi huo.wenzetu asasi za kiraia hazijalala,rais akimteua mtu ambae wana mashaka nae,chap chap wanarush kuzuia uteuzi mahakamani.sisi huku tumemuachia jk kila kitu.
 
Baada ya kuangalia yanayotoke bungeni na katika vyombo mbalimbali vya serikali, Naona kama kuna Uoga wa utendaji wa vingozi wa vyombo nyeti vya serikali na hivyo kuathiri ufanisi wa utendaji wa serikali kwa ujumla. Viongozi wa vyombo nyeti kama TISS, Waziri Mkuu, Takukuru, Jaji Mkuu, Msajili wa Vyama, Mkurugenzi Tume ya Uchaguzi NK, Wanateuliwa na serikali kupitia Raisi. Nafikiri Raisi angependekeza majina matatu bora na kuyapeleka Bungeni kwa uteuzi, na Raisi asiwe na mamlaka ya kuwaondoa, ila kwa bunge kuridhia.

Hii itawapa nguvu za kutenda kazi kitaaluma zaidi, na wawe wanariport kwenye kamati za bunge, ili zichambuliwe na kupelekwa kwa raisi kwa ajili ya utekelezaji. Hii itaondoa suala la kulindana. Tatizo letu ni kuiga kila kitu ambacho mkoloni alituachia, hii inaweza kuleta wakoloni weusi. Wateja hivi vyombo ni umma na sio watawala kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni. Kwa mfano Umma una haki ya kujua aina fulani ya taarifa za kiusalama, hasa zile za uhujumu, hata kupitia magazetini, lakini TISS haiwezi kwa sasa kufanya hivyo.

Riport hizi; kama ya uuzaji wa mlima wa kiwira, vitalu, EPA, Tanesco NK, ni mifano hai ambayo haiitaji kungijea GAG au Kamati za bunge, kulipua mambo. Mifumo yetu inafanya hivi vyombo viwe butu. TAKUKURU, POLISI, MAHAKAMA, TIIS nakadhalika wamekuwa wakiegemea kwa watawala kuliko wananchi. Na mara nyingine hata kuegemea katika chama fulani. Kumbuka leo CCM, Kesho CUF, Keshokutwa TLP au CDM, hawa watachanganyikiwa wasipojengewa mfumo mzuri.

Hii itafanya viongozi wakuu wa nchi kutafakari mbele ya safari zao za uongozi. Na watawajibika na kupendwa zaidi na wananchi.

Samahani, haya ni maono ya baadaye, maana nahisi wajukuu watachapa viboko makaburi yetu.

Suala la ujenzi wa Mfumo ndilo analofanya JK japokuwa sisi wenye akili za kawaida hatulioni hilo. Mwisho wa siku tunaishia kumlalamikia kuwa hafanyi kazi. But the history shall tell us
 
Baada ya kuangalia yanayotoke bungeni na katika vyombo mbalimbali vya serikali, Naona kama kuna Uoga wa utendaji wa vingozi wa vyombo nyeti vya serikali na hivyo kuathiri ufanisi wa utendaji wa serikali kwa ujumla. Viongozi wa vyombo nyeti kama TISS, Waziri Mkuu, Takukuru, Jaji Mkuu, Msajili wa Vyama, Mkurugenzi Tume ya Uchaguzi NK, Wanateuliwa na serikali kupitia Raisi. Nafikiri Raisi angependekeza majina matatu bora na kuyapeleka Bungeni kwa uteuzi, na Raisi asiwe na mamlaka ya kuwaondoa, ila kwa bunge kuridhia.

Hii itawapa nguvu za kutenda kazi kitaaluma zaidi, na wawe wanariport kwenye kamati za bunge, ili zichambuliwe na kupelekwa kwa raisi kwa ajili ya utekelezaji. Hii itaondoa suala la kulindana. Tatizo letu ni kuiga kila kitu ambacho mkoloni alituachia, hii inaweza kuleta wakoloni weusi. Wateja hivi vyombo ni umma na sio watawala kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni. Kwa mfano Umma una haki ya kujua aina fulani ya taarifa za kiusalama, hasa zile za uhujumu, hata kupitia magazetini, lakini TISS haiwezi kwa sasa kufanya hivyo.

Riport hizi; kama ya uuzaji wa mlima wa kiwira, vitalu, EPA, Tanesco NK, ni mifano hai ambayo haiitaji kungijea GAG au Kamati za bunge, kulipua mambo. Mifumo yetu inafanya hivi vyombo viwe butu. TAKUKURU, POLISI, MAHAKAMA, TIIS nakadhalika wamekuwa wakiegemea kwa watawala kuliko wananchi. Na mara nyingine hata kuegemea katika chama fulani. Kumbuka leo CCM, Kesho CUF, Keshokutwa TLP au CDM, hawa watachanganyikiwa wasipojengewa mfumo mzuri.

Hii itafanya viongozi wakuu wa nchi kutafakari mbele ya safari zao za uongozi. Na watawajibika na kupendwa zaidi na wananchi.

Samahani, haya ni maono ya baadaye, maana nahisi wajukuu watachapa viboko makaburi yetu.

Suala la ujenzi wa Mfumo ndilo analofanya JK japokuwa sisi wenye akili za kawaida hatulioni hilo. Mwisho wa siku tunaishia kumlalamikia kuwa hafanyi kazi. But the history shall tell us
 
Suala la ujenzi wa Mfumo ndilo analofanya JK japokuwa sisi wenye akili za kawaida hatulioni hilo. Mwisho wa siku tunaishia kumlalamikia kuwa hafanyi kazi. But the history shall tell us

Hilo linaonekana, hata katika kuridhia mchakato wa katiba, sasa sisis wananchi tunatoa mawazo, turekebishane ili tupate muono muafaka.

Inawezekana.
 
Suala ni kwamba vyombo vyote vinatakiwa kuutumikia umma kwanza, halafu kuwasaidia viongozi kuutumikia umma. Kwa sasa nahisi kama vinatumikia kikundi fulani teule. Hii ni hatari. Leo unaweza kuwa kwenye kundi teule, lakini kesho usiwepo. Na waswasi sana na stability ya nchi katika hizi structure za kikoloni. Hata ukoloni wenyewe ulishashindwa.
Hoja yako imesimama mkuu nashukuru tunazidi kupata masuala muhimu ya kuingiza kwenye Katiba yetu mpya ili matumizi mabaya ya vyombo hivi yakomeshwe. Hongera kwa hoja nzuri
 
Hoja yako imesimama mkuu nashukuru tunazidi kupata masuala muhimu ya kuingiza kwenye Katiba yetu mpya ili matumizi mabaya ya vyombo hivi yakomeshwe. Hongera kwa hoja nzuri

Labda wakuu JF hebu tujaribu kulist hivi vyombo nyeti, ili tubadilishane mawazo. Nimetoa mifano michache tu.
 
Hawa watu hawafanyi kazi kwa uhuru bse alyewateu anawaamrisha kama mbwa wa askali wakiwa independent itakuwa jambo la mbolea sana
 
Back
Top Bottom