MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,166
Tatizo anaongozwa na urafiki. nasikia na uhawala hawala ni mtaji.Walivyoondolewa ulipewa sababu? Uliona wakipelekwa Mahakamani?
Kwa nini useme Rais ana udhaifu?
Kwa taarifa yako Samia haongozwi na chuki