Uteuzi wa Naibu Gavana wa BOT (Dk. Natu El- Maamry Mwamba) Una msaada gani kwa Jamii yetu kwa sasa?

Leo nimesoma habari ya Uteuzi wa Naibu Gavana Dk. Natu, najua alikua kwy bodi ya BOT kwa kipindi kirefu na ni mwadhiri katika Chuo chetu kikuu, but akiwa kama mjumbe wa bodi ya BOT kwa kipindi chote alimshauri nini Gavana katika kuboresha uchumi wetu na je akiwa kama Naibu gavana wa BOT anaweza kutusaidia kupunguza mlipuko wa bei za chakula na vitu vingine? na kuhusu kuboresha dhamani ya shilingi iliyo shuka dhamani unadhani anaweza kuwa msaada kwetu sisi walala hoi au amewekwa apo kwa manufaa ya baadhi ya watu na wanasiasa.
Naomba mawazo.


Tatizo lako ni kuwa umeanza mada hii kwa kutarajia majibu uliotaka ya kuwa huyo ndugu ni Mwislamu na hivyo kuiharibu.

Pili kajifunze Kiswahili maana hakuna kitu dhamani bali thamani.

Wacheni udini huo.
 
hongera sana dr. natu e. mwamba.

ndio huyu ni binti wa mzee el-maamry.

kama sikosei pia amefundishwa na beno ndulu udsm (hapa naweza sahihishwa).
 
Makaimati said:
Tatizo lako ni kuwa umeanza mada hii kwa kutarajia majibu uliotaka ya kuwa huyo ndugu ni Mwislamu na hivyo kuiharibu.

Pili kajifunze Kiswahili maana hakuna kitu dhamani bali thamani.

Wacheni udini huo.

Makaimati,

..hata wewe udini umekuzingira.

..huyu mwanamama anaitwa Dr.Natujwa El-Maamry Mwamba.

..what makes you believe kwamba lazima atakuwa ni Muislamu?

..kuna Askofu nchi hii alikuwa anaitwa Alpha Mohamed.

..kinachotakiwa kujadiliwa hapa ni credentials za huyu mwanamama na siyo kuanza kui-envoke masuala ya dini kwa nia ya kumponda au kumtetea.
 
Makaimati,

..hata wewe udini umekuzingira.

..huyu mwanamama anaitwa Dr.Natujwa El-Maamry Mwamba.

..what makes you believe kwamba lazima atakuwa ni Muislamu?

..kuna Askofu nchi hii alikuwa anaitwa Alpha Mohamed.

..kinachotakiwa kujadiliwa hapa ni credentials za huyu mwanamama na siyo kuanza kui-envoke masuala ya dini kwa nia ya kumponda au kumtetea.

Tatizo Mkuu ni kuwa hio ndio trend nnayoiona humu JF na ukweli ni kwamba kuna watu katika ukumbi huu wanashupalia sana udini na hivyo kunifanya nijikite moja kwa moja huko.

Samahani Mkuu, nilikuwa napita tu

Mimi sio Mdini na mara nyingi thread za namna hio huwa si comment kitu.
 
..huyu ni Natujwa "Natu" El-Maamry Mwamba.

..nadhani ni binti wa kwanza wa Mzee Said El-Maamry.

..she has a Ph.D in Economics na amekuwa mhadhiri kwa muda mrefu UDSM.

..waacheni kina dada nao wapate nafasi kuonyesha uwezo wao.

..wanaume tumezidi ufisadi nchi hii, labda kina dada ndiyo ukombozi wetu sasa hivi.

Tunamwombea kwa Mwenyezi Mungu amsaidie kufanikisha kazi yake kwa vizuri.
 
Leo nimesoma habari ya Uteuzi wa Naibu Gavana Dk. Natu, najua alikua kwy bodi ya BOT kwa kipindi kirefu na ni mwadhiri katika Chuo chetu kikuu, but akiwa kama mjumbe wa bodi ya BOT kwa kipindi chote alimshauri nini Gavana katika kuboresha uchumi wetu na je akiwa kama Naibu gavana wa BOT anaweza kutusaidia kupunguza mlipuko wa bei za chakula na vitu vingine? na kuhusu kuboresha dhamani ya shilingi iliyo shuka dhamani unadhani anaweza kuwa msaada kwetu sisi walala hoi au amewekwa apo kwa manufaa ya baadhi ya watu na wanasiasa.
Naomba mawazo.

Roho chafu ya Ubaguzi wa dini inakusumbua....Poor you
 
Dada yangu si wote wanofanya mzaa katika JF kama ww ni mshabiki wa chama fulani ni bora kwenye mambo mengine uche watu wachangie point za maana, labda nikukumbushe serekali ya CCM ndiyo yenye jukumu la kupandisha dhamani ya shilingi kwa kunya yafuatayo (1). kuongeza soko la bidhaa zetu nje ya nchi, (2) ku mdhamini mtanzania katika maswala ya uzalishaji (3) kuongeza ajira na kutoa elimu kwa wajasiria mali wetu. (4) kutafuta mbinuza ushindani wa kibiashara.
Siyo mzaa na kutupa haadi feki na safari zisizo na mafanikio kila siku.

Unakosea unaposema Serikali ya CCM ndio yenye jukumu la kupandisha thamani ya shillingi. Nikuulize swali moja ? jee hujui kuwa hivi karibuni thamani ya shillingi imeanza kushuka baada ya maandamano ya Chadema?

1) Kuongeza soko la bdhaa nje, ni kwa sote na si kwa serikali, kumbuka hakuna mtu anaeitwa serikali, isipokuwa kuna sisi ndio tunatakiwa kufanya bidii za kuuza bidhaa zetu nje.

2) Hivi kuna wakati wowote Tanzania ajira zimeongezeka zaidi ya kipindi cha Kikwete? nakushangaa sana.
 
Uteuzi wenye tija ulikuwa enzi za mwalimu siku izi mbona ni ushikaji na ulaji aka kunyoosheana channel

Mtazamo wangu ni kuwa kila utawala una mawaa na changamoto zake...

Mwalimu alikuwa hivyo, mwinyi hivyo, mkapa hivyo, kikwete hivyo na atakayefuata kadhalika.

Shida nnayoipata hapa JF ndiyo ambayo nnakutana nayo huku mitaani kila uchao..tabia ile ile ya watanzania kupenda kusifia na kusifiwa kupita kiasi...tabia hii imefanya wabongo kwa kiasi kikubwa kutokuwa wakweli au kwa makusudi kuamua kufumbia macho ukweli; tabia ya mbuni kutia kichwa mchangani ilhali mwili wote uko nje.

Teuzi mbovu zilianza na mkoloni na zikaendelea hata baada ya uhuru wakati wa utawala wa mwalimu na tawala zilizofuatia...ni kutia chumvi mno kusema wakati wakati wa mwalimu hakukuwa na teuzi za hovyo; tujaalie kuwa ni kweli, niulize swali, neno wabenzi umewahi kulisikia...halitumiki siku hizi...lilianza wakati wa mwalimu, itoshe kuwa ni ushahidi wa kwamba mambo ya hovyo yalikuwe tangu enzi hizo. labda niongeze tu..neno mwenzetu limeanza lini...na kwa nini walianzisha hilo neno mbele ya macho ya mwalimu?

Tusichanganye the fact kwamba mwalimu alithubutu kuhimiza na kusimamia uwajibikaji kwa kiwango kikubwa na ukweli kwamba baadhi ya teuzi zake hazikuwa na tija katika baadhi ya maeneo, mfano uteuzi wake wa mjivuni mmoja akiitwa Dr Kleruu kuwa RC wa Iringa ambao uliishia kwa Kleruu kuuliwa kama mbwa na mzee wa kihehe akiitwa Mwamwindi.

Mi nadhani katika kujadili tujaribu sana kuishi juu ya hii ndoto ya Great thinkers, tupunguze hamasa na ushabiki na tujaribu kwa kiwango kikubwa sana kuwa objective. naamini kuwa huwezi kuwa a great thinker kama objectivity si katika fundamental principles zako katika thinking.

ni mtazamo tu!
 
Tatizo lako ni kuwa umeanza mada hii kwa kutarajia majibu uliotaka ya kuwa huyo ndugu ni Mwislamu na hivyo kuiharibu.Pili kajifunze Kiswahili maana hakuna kitu dhamani bali thamani.Wacheni udini huo.
Wewe ndo mdini maana mtoa mada hajazungumzia dini ya mtu bali uwezo wa mtu
 
Dada yangu si wote wanofanya mzaa katika JF kama ww ni mshabiki wa chama fulani ni bora kwenye mambo mengine uche watu wachangie point za maana, labda nikukumbushe serekali ya CCM ndiyo yenye jukumu la kupandisha dhamani ya shilingi kwa kunya yafuatayo (1). kuongeza soko la bidhaa zetu nje ya nchi, (2) ku mdhamini mtanzania katika maswala ya uzalishaji (3) kuongeza ajira na kutoa elimu kwa wajasiria mali wetu. (4) kutafuta mbinuza ushindani wa kibiashara.
Siyo mzaa na kutupa haadi feki na safari zisizo na mafanikio kila siku.

Nafikiri kuanzia sasa kauli zako zitabadilika baada ya kuhakikishiwa kuwa hiyo ElMaamry sio hiyo ulioukiifikiria . Sote tuna matatizo lakini wengine mmetuzidi!
 
Leo nimesoma habari ya Uteuzi wa Naibu Gavana Dk. Natu, najua alikua kwy bodi ya BOT kwa kipindi kirefu na ni mwadhiri katika Chuo chetu kikuu, but akiwa kama mjumbe wa bodi ya BOT kwa kipindi chote alimshauri nini Gavana katika kuboresha uchumi wetu na je akiwa kama Naibu gavana wa BOT anaweza kutusaidia kupunguza mlipuko wa bei za chakula na vitu vingine? na kuhusu kuboresha dhamani ya shilingi iliyo shuka dhamani unadhani anaweza kuwa msaada kwetu sisi walala hoi au amewekwa apo kwa manufaa ya baadhi ya watu na wanasiasa.
Naomba mawazo.

Tumekuwa tukiona uteuzi kila siku mbona leo unakurupuka? Vipi hujashauriwa nini n?
 
Leo nimesoma habari ya Uteuzi wa Naibu Gavana Dk. Natu, najua alikua kwy bodi ya BOT kwa kipindi kirefu na ni mwadhiri katika Chuo chetu kikuu, but akiwa kama mjumbe wa bodi ya BOT kwa kipindi chote alimshauri nini Gavana katika kuboresha uchumi wetu na je akiwa kama Naibu gavana wa BOT anaweza kutusaidia kupunguza mlipuko wa bei za chakula na vitu vingine? na kuhusu kuboresha dhamani ya shilingi iliyo shuka dhamani unadhani anaweza kuwa msaada kwetu sisi walala hoi au amewekwa apo kwa manufaa ya baadhi ya watu na wanasiasa.
Naomba mawazo.

kwani benno ndulu alichaguliwa? Si aliteuliwa? Mbona hukuleta na kujadili? Na je huyu elmaamry alikuwa mshauri pekee kwa Ndulu? Na huyo ndulu kama alikuwa kila anachoshauriwa hata kibaya alikuwa anakifuata basi ana matatizo, hatufai!
 
Dr. Mwamba alikuwa mwalimu wa economics UDSM. Ni mtu anayejiheshimu (mavazi, kuongea-japo sio mwongeaji sana), sura ya kazi (but mzuri). kuhusiana na ufanisi ktk utendaji-hilo waliofanya nae kazi wanaweza wakatujuza. Aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo ameenda EAC.

Najikuta nimetokea kumpenda ghafla, ameolewa? Dr kama unanipata ni PM plz
 
Back
Top Bottom