Uteuzi wa mapema wa Prof. Kabudi, kama Waziri wa Mambo ya Nje ni kujiaandaa kwa ajili ya kesi iliyofunguliwa huko ICC?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,477
30,137
Nimeshangazwa sana na hatua ya Rais Magufuli kuteua mawaziri wawili pekee na kudai kuwa uteuzi wa wizara nyingine utafuata baadaye.

Tulishuhudia katika kipindi chake cha awamu ya kwanza, akimaliza karibu miezi miwili bila kuteua waziri yeyote!

Sasa nimekuwa nikijiuliza, kulikoni safari hii ateue mawaziri wawili "faster" ndani ya wiki moja, tokea Tume ya Taifa ya uchaguzi imtangaze kuwa ndiye aliyeshinda nafasi ya urais baada ya uchaguzi mkuu, ambao umelalamikiwa sana na vyama vya upinzani kuwa ulivurugwa?

Nimgependa kujua nini mantiki ya Rais Magufuli kuwateua mawaziri wawili pekee, wakati wizara nyingine pia zikihitaji sana huduma ya mawaziri?

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi kuna shguhuli gani za dharura zinazohitaji kuwa ni lazima waziri wa mambo ya nchi za nje, kuwa ni lazima ateuliwe sasa?

Ndiyo maana katika "ramli" yangu nimeona kuna uwezekano mkubwa ameteuliwa waziri wa mambo ya nje, ili akajitahidi kwenda izima kesi iliyofungiliwa huko ICC na chama cha ACT Wazalendo na mwanaharakati Maria Sarungi, ambapo nchi yetu imeshtakiwa kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, nyakati za uchaguzi mkuu, ambao hadi imepelekea kuuliwa kwa wananchi kadhaa wasio na hatia.
 
Hivi BAVICHA mmeshindwa kabisa kujiongeza, au akili imewaruka wote kama mgombea wenu. Mnatumaini kabisa kuwa kuna watu watapelekwa ICC?? Kweli?

Mmebuma na Amsterdam wenu. Kwanza Lissu wakati wa kampeni alisema hatakubali kushindwa, baada ya matokeo kwa kukataliwa na wananchi akahamasisha maandamano, hakuna mwananchi aliyemuunga mkono hata mmoja, baada ya hapo akakimbilia Ubalozi wa Ujerumani kwa kutunga uongo eti anatishiwa usalama wake kumbe anatafuta namna ya kurudi kwa mabeberu. Sasa hivi anaomba maridhiano.

Endeleeni na ndoto, mlishaambiwa CHADEMA itakufa, mkakataa. Sasa imetia, kifo cha mende, mlalo wa chali
 
Hivi bavicha mmeshindwa kabisa kujiongeza, au akili imewaruka wote kama mgombea wenu. Mnatumaini kabisa kuwa kuna watu watapelekwa ICC?? Kweli?? Mmebuma na Amsterdam wenu. Kwanza Lisu wakati wa kampeni alisema hatakubali kushindwa, baada ya matokeo kwa kukataliwa na wananchi akahamasisha maandamano, hakuna mwananchi aliyemuunga mkono hata mmoja, baada ya hapo akakimbilia ubalozi wa ujerumani kwa kutunga uongo eti anatishiwa usalama wake kumbe anatafuta namna ya kurudi kwa mabeberu. Sasa hivi anaomba maridhiano. Endeleeni na ndoto, mlishaambiwa chadema itakufa, mkakataa. Sasa imetia, kifo cha mende, mlalo wa chali
Wewe endelea kuamini kuwa hakuna mtu ataenda ICC alafu utaona matokeo huko mbele.

Hakuna aliyewai tolewa tamko na kamisheni ya Haki za binadamu ya umoja wa mataifa alafu jalada lake likafika icc na icc ikamuacha. Sasa kama Magufuli katolewa tamko hadi na kamisheni ya Haki za Binadamu ya umoja wa mataifa ukiondoa nchi zenye ushawishi UN kama Marekani, Ujerumani, Uingereza na Canada halafu ICC imuache???? Subirini tu kuchunguzwa na mwishowe kutolewa rasmi arrest warrants.
 
Wewe endelea kuamini kuwa hakuna mtu ataenda ICC alafu utaona matokeo huko mbele.

Hakuna aliyewai tolewa tamko na kamisheni ya Haki za binadamu ya umoja wa mataifa alafu jalada lake likafika icc na icc ikamuacha. Sasa kama Magufuli katolewa tamko hadi na kamisheni ya Haki za Binadamu ya umoja wa mataifa ukiondoa nchi zenye ushawishi UN kama Marekani, Ujerumani, Uingereza na Canada alafu Icc imuache???? Subirini tu kuchunguzwa na mwishowe kutolewa rasmi arrest warrants.
Hakuna kitu km hicho, mtasubiri sana. ICC ipi haina hata meno, imebaki kubwekabweka tu.
 
Chandimu mnajitekenya bureee! Hafungwi mtu hapa, muda huu mngekuwa mnajipanga kujenga Chama nyie kaguu na njia kwa Wazungu, kuja kushituka 2025 tunawapiga spana tena
Hivi nyinyi CCM kwa kuweka mifumo inayowapendelea dhahiri ndiyo mnadai kuwa mmeshinda kihalali uchaguzi huu mkuu?

Hivi umewahi kuona wapi, Mwenyekiti wenu wa CCM ambaye pia ni mgombea, kupewa yeye pekee nafasi ya kuteua Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na makamishna wote, ambapo yeye ameteua makada watupu wa chama chake cha CCM?

Hivi umewahi kuona wapi, wasimamizi wa uchaguzi, ambao ni hao maDED, anawateua yeye Mwenyekiti wenu, na anateua kutokana kuwa ni makada watiifu wa CCM?
 
Wewe endelea kuamini kuwa hakuna mtu ataenda ICC alafu utaona matokeo huko mbele.

Hakuna aliyewai tolewa tamko na kamisheni ya Haki za binadamu ya umoja wa mataifa alafu jalada lake likafika icc na icc ikamuacha. Sasa kama Magufuli katolewa tamko hadi na kamisheni ya Haki za Binadamu ya umoja wa mataifa ukiondoa nchi zenye ushawishi UN kama Marekani, Ujerumani, Uingereza na Canada alafu Icc imuache???? Subirini tu kuchunguzwa na mwishowe kutolewa rasmi arrest warrants.
Magufuli akienda ICC hilo shoga lissu libaki huko huko

Hapa tutamtumbua mzima mzima
 
Hivi nyinyi CCM kwa kuweka mifumo inayowapendelea dhahiri ndiyo mnadai kuwa mmeshinda kihalali uchaguzi huu mkuu?

Hivi umewahi kuona wapi, Mwenyekiti wenu wa CCM ambaye pia ni mgombea, kupewa yeye pekee nafasi ya kuteua Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na makamishna wote, ambapo yeye ameteua makada watupu wa chama chake cha CCM?

Hivi umewahi kuona wapi, wasimamizi wa uchaguzi, ambao ni hao maDED, anawateua yeye Mwenyekiti wenu, na anateua kutokana kuwa ni makada watiifu wa CCM?
Kama vipi andamaneni..
 
Chandimu mnajitekenya bureee! Hafungwi mtu hapa, muda huu mngekuwa mnajipanga kujenga Chama nyie kaguu na njia kwa Wazungu, kuja kushituka 2025 tunawapiga spana tena
Chadema ndo kwishney habari yake. Nasiki Mbowe amefurahi sana, maana hela ya ruzuku alopiga, ingemtokea puani kama Lisu angeshinda. Kafanya kila njama msaliti akose kura.
 
Nimeshangazwa sana na hatua ya Rais Magufuli kuteua mawaziri wawili pekee na kudai kuwa uteuzi wa wizara nyingine utafuata baadaye.

Tulishuhudia katika kipindi chake cha awamu ya kwanza, akimaliza karibu miezi miwili bila kuteua waziri yeyote!

Sasa nimekuwa nikijiuliza, kulikoni safari hii ateue mawaziri wawili "faster" ndani ya wiki moja, tokea Tume ya Taifa ya uchaguzi imtangaze kuwa ndiye aliyeshinda nafasi ya urais baada ya uchaguzi mkuu, ambao umelalamikiwa sana na vyama vya upinzani kuwa ulivurugwa?

Nimgependa kujua nini mantiki ya Rais Magufuli kuwateua mawaziri wawili pekee, wakati wizara nyingine pia zikihitaji sana huduma ya mawaziri?

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi kuna shguhuli gani za dharura zinazohitaji kuwa ni lazima waziri wa mambo ya nchi za nje, kuwa ni lazima ateuliwe sasa?

Ndiyo maana katika "ramli" yangu nimeona kuna uwezekano mkubwa ameteuliwa waziri wa mambo ya nje, ili akajitahidi kwenda izima kesi iliyofungiliwa huko ICC na chama cha ACT Wazalendo na mwanaharakati Maria Sarungi, ambapo nchi yetu imeshtakiwa kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, nyakati za uchaguzi mkuu, ambao hadi imepelekea kuuliwa kwa wananchi kadhaa wasio na hatia.
Hata ateua Maprofesa wa HAVARD,YALE,MIT,OXFORD,CAMBRIDGE ni Bure ,CHUMA lazima kipelekwe ICC kikayeyushwe na MABEBERU.
 
Hivi nyinyi CCM kwa kuweka mifumo inayowapendelea dhahiri ndiyo mnadai kuwa mmeshinda kihalali uchaguzi huu mkuu?

Hivi umewahi kuona wapi, Mwenyekiti wenu wa CCM ambaye pia ni mgombea, kupewa yeye pekee nafasi ya kuteua Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na makamishna wote, ambapo yeye ameteua makada watupu wa chama chake cha CCM?

Hivi umewahi kuona wapi, wasimamizi wa uchaguzi, ambao ni hao maDED, anawateua yeye Mwenyekiti wenu, na anateua kutokana kuwa ni makada watiifu wa CCM?
Suala ninalojiuliza mimi "kwann vyama vya Upinzani havikupigania walao ipatikane tu tume huru kwa hii miaka mitano
 
Back
Top Bottom