Uteuzi wa Mabalozi 23 leo, Hakuna aliepangiwa kituo cha kazi au mimi sijaelewa?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,210
12,913
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?
 
Uteuzi wa mabalozi 23 una dalili zifuatazo

1. Yamkini kjna CDF mpya atateuliwa hivyo wale ambao wanasifa za kuwa CDF na wana vigezo lakini wameshakosa huo uteuzi wamepewa ubalozi kuwaziba midomo kama JK alivyofanya wakati wa utawala wake.

2. Kuondoa Magufuli Team kwenye mambo ya nje.

3. Mkuu wa usalama DR... Kipilimba anaweza rudishwa kwenye nafasi yake.
 
K
Uteuzi wa mabalozi 23 una dalili zifuatazo

1. Yamkini kjna CDF mpya atateuliwa hivyo wale ambao wanasifa za kuwa CDF na wana vigezo lakini wamesha kosa huo uteuzi wamepewa ubalozi kuwaziba midomo kama JK alivyo fanya wakati wa utawala wake.


2. Kuondoa Magufuli Team kwenye mambo ya nje.

3. Mkuu wa usalama DR... Kipilimba anaweza rudishwa kwenye nafasi yake.
Kipilimba alishastaafu. Kwenye ubalozi hata wazee kina Dr. Mihogo bado wanatesa!! (Dr Slaa).
 
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?
Ongeza swali.

Wanaanza kulamba marupurupu ya ubalozi? Kupewa nyumba usafiri n.k?
 
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?
Corona ikidhibitiwa vilivyo watapangiwa.
 
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?
Huwezi kuwapangia kazi bila kufurusha vizee vilivyokwisha
 
Sijawahi kuona uteuzi wa Mabalozi wengi hivi bila kupangiwa vituo. Kama mama hakuwa tayari kuwapangia vituo si angesubiri? Kwanini alikurupuka kuwatangaza ilhali vituo vyao vya kazi havijapangwa?
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?
 
Serikali ya Bongo iliwahi kumkataa balozi wa Zambia sababu ya jina lake, ni mpaka nchi wanazokwenda waridhie, pia mabalozi wanaorudishwa wanahakikiwa mfano Slaa, Tossi ni lazima wanrudi
 
..pia kuna wateuliwa ambao wanakaimu kurugenzi mbalimbali ktk wizara ya mambo ya nje. Nadhani kuteuliwa kwao kuwa mabalozi ni KUWATHIBITISHA ktk nafasi hizo.

..wakurugenzi wote wa idara za wizara ya mambo ya nje, isipokuwa mkurugenzi wa fedha na mkurugenzi wa utawala, huwa na hadhi / cheo cha ubalozi.
 
Ilishawahi kutokea nchi yoyote duniani kumkataa balozi aliyeteuliwa kutoka Tanzania?
..wameshapangiwa vituo hao ili bado serikali za nchi wanakokwenda hazijaridhia. binafsi sikuona sababu ya kutangaza sasa hivi. labda serikali ilikuwa inaogopa habari za uteuzi huo kuvuja ikaona itangaze mapema.
 
Leo kupitia page ya kurugenzi na mawasiliano Ikulu nimeona statement ya uteuzi wa wabarozi 23 uliofanywa na Mh Rais Samia, lakini sijaelewa mpaka sasa kuwa katika wote 23 hawajapingiwa vituo vya kazi? Kwanini? Anafanya alimradi abadili ama ye anateua wakati akisubiri wa kumtoa?

1. Kwa Tanzania ubalozi huwa ni uteuzi wa miaka 4. Mabalozi wengi walioteuliwa na JPM wameshamaliza muda wao.

2. Kwenye orodha ile kuna watumishi wa wizara ya mambo ya nje wanaokaimu ukuu wa idara mbalimbali. Utaratibu ni watumishi hao kupandishwa ngazi kuwa mabalozi, na kuthibitishwa kuwa wakurugenzi ktk idara husika za wizara ya mambo ya nje.

3. Kwenye orodha ya walioteuliwa wako watumishi mbalimbali wa IKULU ambao walikuwa wasaidizi wa Rais aliyepita. Kama mpya amekuja na wasaidizi wake hivyo wale wa zamani inabidi wapangiwe majukumu mengine.

4. Nchi walizopangiwa kwenda kutuwakilisha bado hazijatuma taarifa za kuridhia uteuzi wao.
 
Tanzania imewahi kuwakataa mabalozi kutoka nchi . Gay kutoka UK na musenge kutoka Zambia.
 
Ilishawahi kutokea nchi yoyote duniani kumkataa balozi aliyeteuliwa kutoka Tanzania?

..nimewahi kusikia tetesi kuwa nchi moja ya ulaya ilikataa kumthibitisha balozi wetu.

..pia nimewahi kusikia tetesi za jamaa mmoja aliteuliwa kuwa balozi akakataa uteuzi huo.

..wote wawili walikuwa na vyeo vya kijeshi.

cc MALCOM LUMUMBA
 
Back
Top Bottom