Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,478
- 7,458
Shida ya wabongo hatuumizi vichwa hata kidogo, na full ujuaji. Halafu majority ya hao timu malalamiko utakuta ni graduates.Namba 17 hapo imemaliza kila kitu. Kwa ufupi uteuzi wake ni halali kikatiba na kisheria mjadala ufungwe na kazi iendelee