Wafu huzika wafu wenzao! Mijamaa imejaa inferiority complex! Bismilahi
Rev unaweza kuniambia inferiority complex zipi?
Wafu huzika wafu wenzao! Mijamaa imejaa inferiority complex! Bismilahi
Jana nimesikiliza radio ya Kiislamu ,ambapo mtaalamu wa mambo ya dini ya Kiislamu alikuwa anaelezea jinsi ya Kadhi Mkuu atakavyopatikana,amesema masheikh watakaa na kumpendekeza mtu watakaye muona anafaa kuwa Kadhi Mkuu ambaye kwao wao ndiye atakuwa kama mkuu wa mambo ya maamuzi ya kisheria yahusuyo masuala ya waumini wa Kiislamu hapa Tanzania,na wakimpendekeza huyo mtu ,jina lake litapelekwa kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambaye ndiye atakaeidhinisha na kuwa Kadhi Mkuu ni .............,sasa mimi nilichoshangaa ni je kwanini Raisi wa Jamhuri ya Muungano ndie aidhinishe uteuzi wa Kadhi Mkuu?kwani je serikali ina dini?na kwa Kadhi Mkuu kuidhinishwa na Raisi ina maana ni mwaajiriwa wa serikali? na kama ndio hivyo je atafuata masharti ya ajira ya serikali na kwa kuwa Raisi ndie atakayeidhinisha ina hela yangu ya kodi mimi mkiristo ndio italipa mshahara na marupurupu ya muislam?
Hakika kama mambo ndio hivyo basi sina budi kusema Serikali kwa kukubali suala la Kadhi Mkuu kushughulikiwa na serikali inatupeleke mahali kusiko sisi watu wa dini nyingine,mwishowe hata wapagani watadai wawe na musimamizi wa mambo yao ya kisheria atakayelipwa na serikali.
There are no appeals to the judgements of a qadi. Dini ya shetani hii!
Kwa Kadhi hakua RUFAA:
Qadi (also known as Qaadi, Qaadee, Qazi, Kazi or Kadi) (Arabic: قاضي qāḍī‎ is a judge ruling in accordance with the sharia, Islamic religious law appointed by the ruler of a Muslim Country.[/B][/COLOR] Because Islam makes no distinction between religious and secular domains, qadis' traditionally have jurisdiction over all legal matters involving Muslims. The judgment of a qadi must be based on ijmah, the prevailing consensus of the ulema, Islamic scholars.
A qadi must be an adult and free man, a Muslim, sane, unconvicted of slander, educated in Islamic science, and his performance must be totally congruent with Sharia without using his own interpretation. In a trial in front of a qadi, it is the plaintiff who is responsible to bring evidence against the defendant in order to have him or her convicted. There are no appeals to the judgements of a qadi.The Qadi must exercise his office in a public place, the chief masjid is recommended, or, in his own house, where public should have free access. A qadi must not receive gifts from participants in a trial and he must be careful in engaging himself in trade. Despite the rules for the office, Muslim history is full of complaints about qadis. Often it has been a problem, that qadis have been managers of waqfs, religious endowments. The origin of the institution of qadi, is the old Arab arbitrator, the hakam, but qualities from officials in areas conquered by Arabs have been added to the structure.
Kwani Tanzania ni nchi ya kiislam?
Tanzania si Iran! Waislamu wetu ni elimu madrasa ile elimu nyingine ni vilaza, Ona mtu anaandika barozi vatcan! Unategemea kipi kwenye kichwa hicho
acha rais aidhinishe huo uteuzi wao. kwani kuna ishu gani kama tukimlipa mtu mmoja? siyo ishu hata kidogo...kwanza hela yenyewe ndogo tu.
Tunaelekea huko!
Kwa vigezo vipi?
Huwa sina majibu kwenye jibu! Uliza swali tafadhali
Serikali ilipotoa misamaha ya kodi maaskofu na wachungaji ndio wa kwanza kulalamika kwa nini?
Serikali inatoteza billion ngapi kwa siku?
Kumlipa mtu mmoja ndio ewe sababu.
Ubarozi wa vatcan mbona unahudumiwa na serikali sisi tumekaa kimya.
Mahakama itaanzishwa tu hata iwe vipi
Jana nimesikiliza radio ya Kiislamu ,ambapo mtaalamu wa mambo ya dini ya Kiislamu alikuwa anaelezea jinsi ya Kadhi Mkuu atakavyopatikana,amesema masheikh watakaa na kumpendekeza mtu watakaye muona anafaa kuwa Kadhi Mkuu ambaye kwao wao ndiye atakuwa kama mkuu wa mambo ya maamuzi ya kisheria yahusuyo masuala ya waumini wa Kiislamu hapa Tanzania,na wakimpendekeza huyo mtu ,jina lake litapelekwa kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,ambaye ndiye atakaeidhinisha na kuwa Kadhi Mkuu ni .............,sasa mimi nilichoshangaa ni je kwanini Raisi wa Jamhuri ya Muungano ndie aidhinishe uteuzi wa Kadhi Mkuu?kwani je serikali ina dini?na kwa Kadhi Mkuu kuidhinishwa na Raisi ina maana ni mwaajiriwa wa serikali? na kama ndio hivyo je atafuata masharti ya ajira ya serikali na kwa kuwa Raisi ndie atakayeidhinisha ina hela yangu ya kodi mimi mkiristo ndio italipa mshahara na marupurupu ya muislam?
Hakika kama mambo ndio hivyo basi sina budi kusema Serikali kwa kukubali suala la Kadhi Mkuu kushughulikiwa na serikali inatupeleke mahali kusiko sisi watu wa dini nyingine,mwishowe hata wapagani watadai wawe na musimamizi wa mambo yao ya kisheria atakayelipwa na serikali.
acha rais aidhinishe huo uteuzi wao. kwani kuna ishu gani kama tukimlipa mtu mmoja? siyo ishu hata kidogo...kwanza hela yenyewe ndogo tu.
Hebu taja huduma wanazopewa Vatican na Tanzania??
kwa kuanzia naomba nikuulize vatican ni nchi au taasisi na inatambulika kwa sheria zipi?
Kwa kuanzia naomba nikuulize Vatican ni nchi au taasisi na inatambulika kwa sheria zipi?
Ni nchi na inatambulika na UN na wapenda maendeleo wote duniani wasiojilipua mabomu na inaongozwa na POPE anayetambulika kama kiongozi wa nchi na dunia yote
Kwa kuanzia naomba nikuulize Vatican ni nchi au taasisi na inatambulika kwa sheria zipi?