Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Kumtoa kwenye wizara ya maji na kumpa wizara isiyokuwa na kazi maalum ni kummaliza kabisa hasa kwa msongo wa mawazo bora angemtoa kabisa akampa hizo kazi za ushauri ambazo zingeendana na afya yake kwa wakati huu mpaka atakapokuwa fit. kwa tabia za Jk kufanya hivyo ni sawa na kumnyonyoa kuku kabla hujamchinja..... ngoja tusubiri