Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kipindi kile cha Mtei hakukuwa na wasomi / wachumi ndo mana akateuliwa yeye.
Leo tuna wachumi wengi kuna tena level ya uprofesa afu unateua Mwanasheria kuwa governor NOT.
This is insane
Swali ni kwamba Mzee Mtei aliumudu ugavana au hakuumudu? Isistoshe unajua kwamba Mkuu wa IMF (International monetary Fund) Christine Lagard ni Mwanasheria?
Kwa hiyo IMF pia wako insane ila wewe, Mbowe, chadema tu ndiyo watu sane Dunia hii?