Uteuzi wa Gavana wa BoT, Profesa Florens Luoga umezingatia sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006

Tuendelee kusubiri kuona uteuzi zaidi kwa wale waliopewa vyeti kwa zile riporti mbili zitakazotupa 425 trilioni za kufikirika
 
Kuna vitu vya kufanyia mzaha lakini hapa kwetu vile ambavyo sio tunafanyia mizaha. Ngoja mtaona !
we nawe unajifanya expert wa kuendesha serikali unajua kazi za gavana au unafuata upepo wa hawa wakina mbowe
 
Dah aisee Ww Katafute Kwanza School Fees.
Ndo tatizo la Lumumba Chama Kinakwenda Mrama Kwa Kuleta Wanafunzi wawatetee JF .
I'm out.
haya mkuu jioni njema ccm itaendelea kushinda kama chadema ina washauri wenye mtazamo kama wewe na ndugu yenu kigaila leo analala kwenye mbu
 
we nawe unajifanya expert wa kuendesha serikali unajua kazi za gavana au unafuata upepo wa hawa wakina mbowe

Acha ulimbukeni wewe. Siwezi jifanya expert wa kuendesha serikali ya kitanzania. Si bora nikacheze bao?
 
Uteuzi wa huyu Gavana una ukakasi aisee, maana Ana shahada tatu tu(LLB,LLM na pHD in Taxation law) katika vyeti vyake vyote kibaya zaidi degree ya pili napo alipigilia msumari sheria. Ya tatu nayo ni specialization ya sheria (pHD in Taxation law), bado nawaza hivi kweli mwanasheria kuanzia degree ya kwanza mpaka ya mwisho anapewa ugavana Benki kuu?

Nini kilicho nyuma ya pazia?
 
Uteuzi wa huyu Gavana una ukakasi aisee, maana Ana shahada tatu tu(LLB,LLM na pHD in Taxation law) katika vyeti vyake vyote kibaya zaidi degree ya pili napo alipigilia msumari sheria. Ya tatu nayo ni specialization ya sheria (pHD in Taxation law), bado nawaza hivi kweli mwanasheria kuanzia degree ya kwanza mpaka ya mwisho anapewa ugavana Benki kuu?

Nini kilicho nyuma ya pazia?
ndo umejua leo kateuliwa?
 
Duh. Kuna watu wako nyuma ya wakti mbaya. Uteuzi una zaidi ya miezi minne unakuja kushtuka leo?
 
hii maada imejadiliwa sana humu, ulikuwa sijui una supp au uliwekwa ndani?

Uteuzi wa Gavana wa BoT, Profesa Florens Luoga umezingatia sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006




kumbuka BOT imekuwapo tangu 1920!!!!..akina nyirabu, mtei n.k hawakuwa wachumi au wahasibu n.k

chini ya huyo kuna experts wa uchumi wengi tu

Kwa kumsaidia zaidi, hata Mkurugenzi wa IMF ni mwanasheria,

Christine Lagarde completed high school in Le Havre and attended Holton Arms School in Bethesda (Maryland, USA). She then graduated from law school at University Paris X, and obtained a Master’s degree from the Political Science Institute in Aix en Provence. Christine Lagarde, Eleventh Managing Director of IMF -- Biographical Information
 
Back
Top Bottom