Uteuzi wa Dr. Hussein Mwinyi Wizara ya Afya Umezingatia Masuala ya Muungano?

Mwinyi ni humpty dumpty. Hata angekuwa na clinic yake binafsi mngesikia jinsi watu wanavyokufa kule. Ni fadhla tu kwa sababu baba Mwinyi ndiye alimwondoa Kikwete mbugani na kumwonyesha mwanga wa ufisadi. It is payback time.
 
Ni huyu huyu ndo aliondoa tittle ya specialist (daktari bingwa) kwa kuwa yeye hana hiyo title. Wenzake wameirudisha, Si ajabu atajaribu kuondoa tena.Hana jipya zaidi ya chuki dhidi ya madaktari wenzake walio juu yake!

duuuuuhhh kweli 2015 ifike haraka. this is way too much
 
Ndugu zangu msiwe wepesi wa kusahau, kumbukeni mzee ruksa ndio aliyemuibua JK all the way from Masasi kwenye ukatibu wa chama wa wilaya na pia ikumbukwe jitihada za mzee Kitwana Kondo katika hili kutokana na uswahiba uliokuwepo na uliopo kati yake na mzee ruksa! Sasa unategemea Jk amlipe nini mzee ruksa katika hili tena mzee akiwa yungali hai? Same issue to Sophy simba, hawakukutana na mkulu barabarani hawa! It is their time let them enjoy
 
Mkuu statement yako inaonesha ni jinsi gani muungano unavyowanyima haki watu wa Tanzania Bara kuitwa watanganyika

Mbona Katiba haijawataja Wamakonde, Wachagga, Wangoni, nk and life goes on! Nomenclature sio issue hata kidogo maana haiondoi umaskini wetu bali inatuletea chuki ambazo hazina faida yoyote!
 
Pia kuna taarifa zinasema kuwa huyu Dr. Mwinyi alifeli masomo yake hapo Muhimbili akiwa mwaka wa nne, akapelekwa nje ya nchi kumalizia masomo. Leo ndio anawaongoza wale waliomzidi uwezo!. Kaazi kweli

Sasa huu ni uzushi kamili na kutaka kuharibiana majina
 
si huyu tu kuna wengine wabovu JK kawarudisha. i dont know why the same failures again as if hakuna wa2 wengine makini. we ar tired!!!!!!
 
Na hakika wakubwa hawakutegemea kama watu wangeona hilo.

Kwani yule si alikuwa mbunge wa kwao Mkuranga au mumesahau katika kipindi kifupi tu? Aliupataje ubunge kama siyo wa kwenu Tanganyika?

Mwinyi ana haki kwa pande zote mbili kwani baba Mtanganyika mama Mzenji.
 
Wizara aliyopewa inaendana na taaluma yake, ila hiyo ya u kwahani na u tanganyika sidhani kama ndo wakati wake, so long bado tupo kwenye muungano. Nahodha anatokea kule lakini waziri pia

kuna mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Ndo maana wazanzibar wanatutukana kila siku kwa kukumbatia uzalendo wa kinafiki na kuacha mambo ya muhimu yapite kishkaji. Kipindi kile akiwa naibu alikuwa mbunge wa jimbo la huku bara. Mbona watanganyika tunaogopa kuwa na tammganyika yetu? Huyu ana kiburi sana sababu ya kuwa mtoto wa wale wale wa siku zote, believe me huyu ndiye aliyechan4a mgomo wa 2005 akiwa na anna na wakamdanganya sumaye kwamba awafukuze madaktari wote. Kuna mgomo mwingine utatokea chini ya huyu daktari aliyetaka kupractice bila kufanya internship.
 
Nadhani kikwete hana washauri kabisa, au kama anao basi ni hamnazo, dkt mwiny alikuwa mb wa mkuranga alistahiri lakini
 
Mwinyi ni humpty dumpty. Hata angekuwa na clinic yake binafsi mngesikia jinsi watu wanavyokufa kule. Ni fadhla tu kwa sababu baba Mwinyi ndiye alimwondoa Kikwete mbugani na kumwonyesha mwanga wa ufisadi. It is payback time.

Humpty Dumpty ni wewe hapo mwenye kichwa kikubwa ndani hamna kitu.
 
Lakini sasa dkt mwinyi ni mb wa zanzibar hastahiri kuwa kwenye wizara isiyo ya muungan! Hatakiwi hapo cyo wrz ya muungn
 
Dr. Hussein Mwinyi ambaye ni mbunge wa Kwahani Zanzibar, ameteuliwa kuongoza wizara ya afya na ustawi wa jamii.

Kumbukumbu zangu zinanionyesha kwamba Masuala ya Afya si ya muungano na SUK Zanzibar wanaye waziri wa afya Juma Duni Haji.

Wizara zinazohusika na mambo ya muungano ni pamoja na Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, Ulinzi na JKT, Fedha, Habari, Vijana na Michezo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Naomba ufafanuzi toka kwa mtu mwenye taarifa zaidi juu ya hili. Thanks!
 
Kuna raia humu jamvini kasema hivi chao ni chao chetu chao. Zanzibar kwa wanzazibar Tanganyika ya wote
 
Hussein Mwinyi kateuliwa kwa sababu ya "Utanzania" wake na si kwa sababu ya "Uzanzibari" wake!

Buchanan,
Dr. Hussein Mwinyi ni Mtanzania, lakini katika muungano wetu kuna baadhi ya masuala ni ya muungano na mengine si ya muungano.

Nachotaka kufahamu hapa ni kama uteuzi wake umezingatia hilo na si kwa namna yoyote ya kumbagua kiongozi wetu!
 
Last edited by a moderator:
Muungano wetu ni undefined kabisa. Mwinyi kipenzi cha JK sana.

Mkuu MNYISANZU,
Pamoja na utata mwingi unaouzunguka muungano wetu lakini kuna zile ''articles of union'' ambazo kimsingi ndizo zinapaswa kutuongoza katika kuudumisha na kuuimarisha muungano.

Sasa inapotokea kiongozi mkuu wa nchi hazingatii hilo, sisi wananchi tunafanyaje?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MNYISANZU,
Pamoja na utata mwingi unaouzunguka muungano wetu lakini kuna zile ''articles of union'' ambazo kimsingi ndizo zinapaswa kutuongoza katika kuudumisha na kuuimarisha muungano.

Sasa inapotokea kiongozi mkuu wa nchi hazingatii hilo, sisi wananchi tunafanyaje?

KWELI MUUNGANO WETU ULILETWA NA CHZI na unaendeshwa kichizi!
 
Back
Top Bottom