Watu wengi hasa Wafuasi wa CHADEMA tangu Rais Magufuli amsifie Mhe Mbatia hadharani walianza kudhani ni msaliti wa Magruzi, na kuita chama cha NCCR Mageuzi kuwa ni CCM B.
Wakimaanisha NCCR Mageuzi ni mpango wa CCM. Wengi wakaongeza porojo eti NCCR Mageuzi wameahidiwa majimbo 20 mara 50 ambayo watapewa wepesi wa kushinda.
Cha ajabu Jimbo la Vunjo anakowakilisha mwenyekiti wa NCCR Mageuzi. CCM wameteua mgombea mwenye profile kubwa na mwenyekuleta ushindani mkubwa zaidi kwa Mhe Mbatia.
Binafsi hili limenipa udhahidi zaidi kuwa ile mambo ya CCMB mara majimbo 50 ni uchafu uliopikwa mitaa ya Ufipa kuwaondolea NCCR Mageuzi political legitimacy ya kuwa upinzani nchini.
CHADEMA na wafuasi wao maarufu kwa jina la Nyumbu wa mjini wamekua na tabia ya kuchafua kila chama cha upinzani kinachojaribu kuwapa upinzani katika upande wa upinzani nchini.
Mwaka 2015 walikiita chama cha ACT-WAZALENDO NI CCM B.
Mwaka 2011 baada ya kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar. Nyumbu alikiita chama cha wananchi CUF kuwa ni CCM B.
Wakimaanisha NCCR Mageuzi ni mpango wa CCM. Wengi wakaongeza porojo eti NCCR Mageuzi wameahidiwa majimbo 20 mara 50 ambayo watapewa wepesi wa kushinda.
Cha ajabu Jimbo la Vunjo anakowakilisha mwenyekiti wa NCCR Mageuzi. CCM wameteua mgombea mwenye profile kubwa na mwenyekuleta ushindani mkubwa zaidi kwa Mhe Mbatia.
Binafsi hili limenipa udhahidi zaidi kuwa ile mambo ya CCMB mara majimbo 50 ni uchafu uliopikwa mitaa ya Ufipa kuwaondolea NCCR Mageuzi political legitimacy ya kuwa upinzani nchini.
CHADEMA na wafuasi wao maarufu kwa jina la Nyumbu wa mjini wamekua na tabia ya kuchafua kila chama cha upinzani kinachojaribu kuwapa upinzani katika upande wa upinzani nchini.
Mwaka 2015 walikiita chama cha ACT-WAZALENDO NI CCM B.
Mwaka 2011 baada ya kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar. Nyumbu alikiita chama cha wananchi CUF kuwa ni CCM B.