Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Huyo ni kichaa, Wana jalada mirembe na Ndugu gayMtu mmoja kumquote kila mtu kwenye uzi mmoja ni ishara ya kichaa
Huyo ni kichaa, Wana jalada mirembe na Ndugu gayMtu mmoja kumquote kila mtu kwenye uzi mmoja ni ishara ya kichaa
TB Joshua alisanuka akaondoka bila kuaga akimwachia jamaa moto 🔥Unabii usio na kichwa na miguu huku ndugu yenu anashambuliwa na funza bila hata ya kujitetea huko Chattle!
Lema alisema jamaa yenu hatamaliza awamu yake, T.B Joshua yeye alishuka kwenye ndege akiwa pekupeku 2015 ila nyie MATAGA wala hamkuelewa lolote,na hamtakuja kuelewa nguruwe nyie.
Unataka ushaidi gani?Is there any substantial evidence that backs up that Biswalo Mganga is implicated in office abuse as quoted from the two attached threads and personal opinion by Godbless Lema a none legible fugitive in Canada? Is it justifiable for a none legible fugitive to curse a judiciary appointment into office suggesting Biswalo Mganga was not qualified to be a judge and that he was liable to be imprisoned or lamenting in hell. Does Godbless Lema have the moral authority to subscribe to such a punitive statement against a judiciary appointee?
Were you comfortable quoting such an animosity statement and post on the public shared platform and for what targeted purpose?
Personal hatred is now ground being staged by haters of all colors will surface beyond the expectations as the current regime enjoys seeing these kinds of confrontations prevail in the country.
Kwa nini hakukamatwa siku zote kama yeye ni Jambazi?Godbless Lema yeye kama nani anatoa order kama hiyo... jambazi tu huyu kasumbua sana Arusha eti leo ni mwanasiasa! siasa nayo ni sehemu ya watu washenzi kujifichia!
Hana maadili? Hao majaji wengine waliokuwa kwenye hivi vyeo mpaka kuozea huko wamefanya mambo gani ya maana?
Hii ni kinga kwake zaidi maana najua kuna watu walikuwa wanategemea atatupiliwa mbali. Na pengine sasa atakua kwenye kiti maalum cha kufanya maamuzi dhidi za kesi... kwa kifupi hiki ni kipimo kwake!
aachwe hapo hapo!
Ni tusi kubwa sana kwa watanzania na katiba ya nchiMtu aliyeshiriki kikamilifu kwenye ile dhambi ya ubambikiaji kesi kuteuliwa kuwa jaji ni aibu kubwa kwa mahakama kuu na taifa kwa ujumla
-Ushahidi uko wapi? sijui kama unaelewa maana ya ushahidi usioacha shaka kuhusu uhusika wa tuhuma unazomtuhumu?Unataka ushaidi gani?
Kama unao ushahidi wa ukandamizaji wake, nenda mahakamani
Uhuru bila mipaka ni Vurugu.
yaani watanzania sasa wamekuwa huru kuzungumza hadi wanavuka mipaka!!!!
yaaani wamefikia hatua sasa ya kumpangia Rais nini cha kufanya!!!!
Duh!!! hili sasa limezidi na endapo Kiongozi wetu ataendekeza kupekeshwa na majungu basi hii nchi haiwezi kwenda mbele.
Tena ingekuwa mimi basi huyo mnaye mpiga fitina na majungu ningemteua kuwa Jaji Mkuu kabisaa, hamna maaana kabisa nyie watu, mmekosa aibu kabisa.
huyo mnaye mpiga fitina hajaokotwa barabarani alikuwa DPP na aliteuliwa na mamlaka.
😁😁😂😂😂TB Joshua alisanuka akaondoka bila kuaga akimwachia jamaa moto 🔥
Acha upotoshaji huelewi sheria usijivike uanaharakati na siasa kwenye kona usiyoielewa. Unapayuka kama unamfokea mtotio mdogo. Stop it
Hivi Ile Kesi Waliyosema Cdm wanaifungua Ili Biswalo Mganga asiapishwe Ilishafumguliwa Mahakama Kuu?Nimesoma uteuzi wa Majaji uliofanywa na Mh Rais ,nimeelekeza Mawakili wangu waweke pingamizi mara moja la kuzuia kuapishwa kwa aliyekuwa DPP Biswalo Maganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu,hana sifa wala maadili ya kuwa mwamuzi wa haki za Watanzania,anastahili kuwa jela au jehanamu.
Mytake : NI AIBU KUBWA SANA KWA MTEULE WA RAIS KUPINGWA MAHAKAMANI .
Pia soma
Jaji mkuu amesema majaji wote walioteuliwa walipitia kamati sio chini ya tatu kwa wakati tofauti na vipimo tofauiti ndio hao wakafaulu kwa kulingana na mahitaji yaliyopo.Hivi Ile Kesi Waliyosema Cdm wanaifungua Ili Biswalo Mganga asiapishwe Ilishafumguliwa Mahakama Kuu?
Huenda ulichobugia hukukijjua kumbe umekula mmea umekuzingua huoni hujielewiKhaaa... huyu Lema ni mlevi?
Waache wabishi waendeleeGod bless Lema ni nabii bora kabisa wa kizazi chetu!!tangu aote ndoto ya kifo cha jiwe nadhani kila mmoja atakuwa makini kwa tamko lake!!
Nabii wa nyumbuGod bless Lema ni nabii bora kabisa wa kizazi chetu!!tangu aote ndoto ya kifo cha jiwe nadhani kila mmoja atakuwa makini kwa tamko lake!!
Ni taahira tu yule,God bless Lema ni nabii bora kabisa wa kizazi chetu!!tangu aote ndoto ya kifo cha jiwe nadhani kila mmoja atakuwa makini kwa tamko lake!!