SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,714
- 60,721
Haya sasa oneni wenyewe, utaahira wa viongozi wa Chama Cha Majambazi, tukisema sisi oh wanataka kupindua nchi. Hivi kweli kuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye si mnufaika wa ufisadi unaofanywa na hawa mafia ambaye anaiunga mkono CCM? Walala hoi mnaoiunga mkono CCM wahini Loliondo mnaumwa kweli.