Uteuzi wa Anna: Zitto aandamwa mitandaoni, aweweseka

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,164
103,620
Kutokana na uteuzi wa Mama Anna Mgwira aliyekuwa mwenyekiti wa ACT Wazalendo kuwa RC Kilimanjaro na mjumbe wa vikao vya CCM mkoa, Mh.Zitto Kabwe amekuwa akiandamwa mitandaoni na mashabiki wake.

Zitto amekuwa akilazimishwa kutoa tamko ikiwa pamoja na kukejeliwa kwamba ACT ni ''Amri ya Chama Tawala''. Lakini toka uteuzi huo Zitto Kabwe amekuwa aki-post nukuu za Quran jambo linaloonyesha kuweweseka kwake.

FUNZO
Karma is a bi*****ch for all traitors
 
465bfa7d85b243596d8006063858a4b0.jpg
0c2e9460e35a155a628f2a8bc4c6ad96.jpg
a115429017dd8b8d7cac7d72c2f9c6c5.jpg


Zitto umekua mwepesi....njoo uombe msamaha chadema tu tupambane.
 
kiujumla hili la mwenyekiti wa chama cha ACT kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa ambaye ni mtekelezaji mkuu wa ilani ya chama tawala inazua maswali kuliko majibu. kiukweli ACT ni tawi la ccm.
 
Asante Mungu, unazidi kunionyesha na kuthibitisha yale niliyoyasimamia tokea 2012 wakati Zitto anaanzisha choko choko za kuibomoa CHADEMA, kwamba ACT hakikuwa chama cha upinzani bali tawi la watawala lilioanzishwa kwa lengo la kudhoofisha wapinzani...Leo mama kaamua kuacha uenyekiti wa chama chake hahaha kakabidhiwa ilani ya chama alichokuwa akinadi kutoamini katika ilani wala itikadi yao....
 
Back
Top Bottom