nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
yaani kuanzia mwakani naye ataupokea mwenge katika mkoa wake kwz mbwembwe ilhali chama chake kilikuwa hakikukubali mambo ya mwengd. nimeamini kuna wapinzani na upinzani.Asante Mungu, unazidi kunionyesha na kuthibitisha yale niliyoyasimamia tokea 2012 wakati Zitto anaanzisha choko choko za kuibomoa CHADEMA, kwamba ACT hakikuwa chama cha upinzani bali tawi la watawala lilioanzishwa kwa lengo la kudhoofisha wapinzani...Leo mama kaamua kuacha uenyekiti wa chama chake hahaha kakabidhiwa ilani ya chama alichokuwa akinadi kutoamini katika ilani wala itikadi yao....