Uteuzi wa Anna Mghwira kuwa RC ni sura halisi ya Zitto Kabwe

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,233
12,508
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Anna Mgwira, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
 
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Ana Ngwila, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
Zito hili alilijua ndo maana hajaongea chochote. ACT nahisi @ kiongozi wake ni mwanachama hai wa ccm. Ni kakikosi kazi ka ccm maana huwezi kupewa ukuu wa mkoa bila kuwa kada wa chama na vikao vyote vya chama mkoa mkuu wa mkoa ni mjumbe kwa ataingia bila kuwa mwanachama
 
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Ana Ngwila, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
Upuuzi mtupu, ZZK anahusikaje na teuzi za magufuli? acheni siasa nyepesi za kusingizia watu majungu na ufedhuli
 
Kibaraka zito hajajua kua unafiki wa kujifanya mpinzani wakati yeye ni tawi la matakataka ya ccm ni laana kwake na nchi kwa ujumla. Watu wanauawa hovyo, watu wananyimwa haki zao halafu leo lidude linaitwa lipinzani linaungana na watesaji? Aibu kubwa.
 
While i respect and admire Zitto Kabwe, ninaweza kumpa benefit of doubt...
Kuendesha chama si kazi rahisi, unaweza dhani mpo pamoja kumbe wenzako wanakuzunguka.....
Zitto should have learned it before, btw ipo haja ya kumvua huyo mama uanachama mara moja na kuonesha kuwa hawamuungi mkono na ni utash wake binafsi

kumfananisha huyo mama na Mbatia ni ujinga ulioenda shule ....
Mbunge bado ana platform ya kuendeleza chama chake na haitenguliwi na yeyote.. ila ukuu wa mkoa ni kazi ya chama kwa mujibu wa katiba ya CCM.
 
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Ana Ngwila, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
Act wazalendo inazidi kuimarika lakini CCM inaimarika zaidi
 
Tuliambiwa vyeo vya RC, DC, ni vya kisiasa tofauti na ubunge.

kabisa ni vya kisiasa, na alichofanya Magufuli ni siasa kamilifu

1. Anna atazigawa sana kura za CDM, kwenda vyama vingine au kurudi CCM
2. Hakuna mtu wa ccm wa caliber ya meck sadiki anayeweza kuongoza kilimanjaro, kilimanjaro inahitaji busara sana kuwavuta wale wazee
3. Magu anaweza kuwa anamkomoa Zitto, na atakiua chama , if and only if uteuzi wake unalenga kuharibu upinzani, juku akionekana anajijenga kimataifa kwa kuwapa wapinzani nafasi


Kwa zitto

1. aandae MOU ya yeye na viongozi wenzake kuwa pindi wakiwa viongozi wa chama wakatae teuzi
 
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Anna Mgwira, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
wivu unawasumbueni
 
Mbatia kateuliwa ubunge akiwa NCCR MAGEUZI na ubunge sio kazi ya kuifanya kwa maelekezo ya alie kuteuwa ndio maana Mbatia kaenda kujiunga na kambi ya upinzani bungeni na kuikosoa serikali na Rais asingekuwa na uwezo we kutengua uteuzi wake, lakini RC ni mfanyakazi wa serikali na anatekeleza majukumu yake kwa maelekezo ya Rais na rais anauwezo wa kumfukuza kazi, akienda kinyume na ilani na sera za chama Chaka kinacho tawala
 
Uteuzi una faida kwa mama mwenyewe ila hauna faida kwa chama misingi ya chama inasema nini juu ya ushirikiano na chama pinzani wako,mama kasailiti chama ilo ndo jibu rahisi amekubali kwenda kusaidia ilani ya CCM kukamilika ili chama chake kije kujinadi kwa lipi?
ila nina anza kuelewa na kuhisi kina mbowe waliona mbali kuhusu zito na kumtoa chadema,zito na anawakati mgumu na anza kuona ni ngumu ata kumluhusu kuingia chadema tena imani nae itakua ngumu,Najiuliza ni nani atakuwa na imani tena na zito kama mpinzani?
 
Baada ya yule Prof. kuwa katibu mkuu, na sasa Anna Mgwira, bila shaka itafuata zamu ya Zitto Kabwe. Hivyo Mh. Zitto Kabwe anaungana rasmi na waheshimiwa Lyatonga, Ahamadi Rashid, Lipumba, Lamwai, Zuberi Mtemvu, Shamte, nk katika siasa za Tanzania ambazo watoto wetu huko mbele watakuja kujisomea kwenye historia ya demokrasia Tanzania.
Sioni tatizo kwa Zitto kwenda kokote au kukubali uteuzi wowote atakaopewa na JPM as long as ni maisha yake binafsi na aliamua mwenyewe kuwa mwanasiasa. Wakati mwingine tuheshimu utashi wa mtu...
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom