Uteuzi unaotia shaka - Ukanda na Ukabila mtupu!

Cynic

JF-Expert Member
Jan 5, 2009
5,144
1,648
Msolla aunda kamati ya kuchochea sayansi
James Magai

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msolla ameunda Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo pamoja na majukumu mengine itaishauri Serikali namna ya kuwavutia vijana wasome masomo ya sayansi.


Prof. Msolla alisema hayo ofisini kwake jana, kabla ya uzinduzi wa Kamati ya ushauri wa masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo iliundwa hivi karibuni.


Wajumbe wa Kamati hiyo ni Profesa Mathew Luhanga , Profesa Burton Mwamila, Profesa Suzan Nchimbi Msolla, Profesa Keto Mshigeni na Margareth Munyagi.Wengine ni Dk.Tito Mwinuka na Margareth Komba ambao mi wajumbe wa sekretarieti.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Makamu Mkuu Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Profesa Luhanga, alsema Kamati yake itatumia uwezo wake utakaoisaidia Wizara katika utendaji wake kwa ajili ya maendeleo ya Taifa na kwamba wiki ijayo watakaa kutafakari namna ya kutekeleza majukumu hayo.

Tuma maoni kwa Mhariri

© Mwananchi Communications Ltd 2006- 2009


Hivi hakuna wanasayansi wanaofaa kuwepo kwenye kamati hii kutoka kwinginepo? Na wote ni wakristo!
 
Sasa watu wote hapo wazee..je kweli kuna jipya?

Tunahitaji damu na mawazo mapya!

You can not teach old dogs new tricks!
 
Kwa hiyo walichaguliwa kwa sababu ya ukabila au udini au vyote viwili?


Mods hii ipelekwe inapostahili, "UMBEYA NA VICHEKESHO"

Hamna cha umbeya wala vichekesho iachwe hapa hapa. Lazima watu watambue teuzi zinavyokwenda. Najua ya SUA hayakujulikana ila sasa hivi mambo hadharani
 
Last edited:
Msolla aunda kamati ya kuchochea sayansi
James Magai

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msolla ameunda Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo pamoja na majukumu mengine itaishauri Serikali namna ya kuwavutia vijana wasome masomo ya sayansi.


Prof. Msolla alisema hayo ofisini kwake jana, kabla ya uzinduzi wa Kamati ya ushauri wa masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo iliundwa hivi karibuni.


Wajumbe wa Kamati hiyo ni Profesa Mathew Luhanga , Profesa Burton Mwamila, Profesa Suzan Nchimbi Msolla, Profesa Keto Mshigeni na Margareth Munyagi.Wengine ni Dk.Tito Mwinuka na Margareth Komba ambao mi wajumbe wa sekretarieti.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Makamu Mkuu Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Profesa Luhanga, alsema Kamati yake itatumia uwezo wake utakaoisaidia Wizara katika utendaji wake kwa ajili ya maendeleo ya Taifa na kwamba wiki ijayo watakaa kutafakari namna ya kutekeleza majukumu hayo.

Tuma maoni kwa Mhariri

© Mwananchi Communications Ltd 2006- 2009


Hivi hakuna wanasayansi wanaofaa kuwepo kwenye kamati hii kutoka kwinginepo?

Na wote ni wakristo!


Wote NI WAKRISTO, waislam bwana,....!@#?, Mbona wakristo HAWALALAMIKI/hawasemi RAIS NI MUISLAM NA MAKAMU WAKE NI MUISLAM?

Acheni ushabiki, usio kuwa na maana. Hawo waliochaguliwa wanafaa na ni sahihi.

Kama unataka waislam, basi nenda Iran, huko wote ni wa muhammadan, and no body cares.
 
Last edited:
Hamna cha umbeya wala vichekesho iachwe hapa hapa. Lazima watu watambue teuzi zinavyokwenda. Najua ya SUA hayakujulikana ila sasa hivi mambo hadharani.

Ama kwa hakika JF ni kielelezo cha mfubau wa vichwa vya waTz..This shows exactly why we are so backwards...

Umeambiwa waziri ameunda timu itakayochochea nyanja za kisayansi..hili ni jambo la manufaa ukiliangalia hata kwa micro au macroscopic level: Lakini hebu tazama pumba ambazo zimeshavurumishwa:

1. Udini
2. Ukanda
3. Ukabila
4. Kudhani kuwa walioteuliwa wamepewa ULAJI..
5. n.k.

Kaazi kwelikweli..
 

Kale kaugonjwa ka inferiority complex kumbe bado kanawasumbua hawa majaa wa Muhammadan.

Madrasa inafanya kaaazi kweli kweli.


Hii haijatulia katika mtazamo,

Nadhani yaliotangulia hapo kabla yako yalitolewa na wachache, sasa wewe inakuwaje unajumuisha wote?
 
Nafahamu taaluma za Prof. Luhanga, Dr. Mwamila na Miss. Munyagi, wote ni wahandisi. Hao wengine pia either ni wahandisi au wamesoma sayansi, sina uhakika na wengine. Maybe hapa kigezo ni kuwa msomi katika nyanja hizo, na hata jina la hiyo kamati ni Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano. Sasa kama wasomi wa makabila au kanda nyingine labda wengi ni wa Arts au something else, huoni probability ya kupatikana mtu wa huko pia inashuka?
 

Ndugu zako wanadai WOTE NI WAKRISTO, JE NA WEWE UNASEMAJE?

Hilo la kusema wote ni wakristo sio jema vile vile, lakini unapogundua kuwa mtu ana mtazamo mfupi au hasi unampa shule.

kwangu mtu kuwa islamic au christian haina shida, kinachonipa utata ni pale ninapogundua uwezo wake ni mdogo na mausiano yake yanamapungufu kiimani juu ya watu wengine.
 
Tanzania hatuna tatiuzo la udini. Ni watu tu wanataka kulileta sasa. Huko nyuma mbona tuliishi kwa amani sana!!!! Katiba yetu haipi kipaumbele masuala ya dini, kila mtu ana uhuru wa kuabudu ila tu asivuke au kuvunja sheria. Na nchi haiendeshwi kwa misingi ya udini ndo maana Mwinyi na Kikwete hawakuchaguliwa na waislam pekeee, ni watanzania wote. Tujitahidi sana kuachana na kujadili dini. Mtu achaguliwe kwa uwezo wake katika kushika madaraka fulani, na kiongozi yeyote halazimiki kumchagua bodi member au yeyote kwa misingi ya dini bali ni kwa misingi yake ya utendaji uliotukuka kama kweli upo kwa Watanzania.

Kwa sababu tunataka kuleta udini ndo maana sasa mara utasikia kujiunga na OIC mara mahakama ya kadhi!!!! Yote ya nini!!! Mahakama ni moja na tu wamoja. Kila mwenye dini ana uhuru wa kujiunga na taasisi relevant ya dini yake na si kulazimisha watz wote. Anyway, nimelizungumzia hili hapa japo si mlengo wa thread hii ni kwa vile tu nataka kuonyesha kuwa masuala ya dini Tz tuyaweke pembeni kwani si msingi wa katiba yetu. Jaribu kutizama back na uone jinsi nchi zinazohalalisha makundi ya dini zinavyopata matatizo duniani. Thanks.
 
Nafahamu taaluma za Prof. Luhanga, Dr. Mwamila na Miss. Munyagi, wote ni wahandisi. Hao wengine pia either ni wahandisi au wamesoma sayansi, sina uhakika na wengine. Maybe hapa kigezo ni kuwa msomi katika nyanja hizo, na hata jina la hiyo kamati ni Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano. Sasa kama wasomi wa makabila au kanda nyingine labda wengi ni wa Arts au something else, huoni probability ya kupatikana mtu wa huko pia inashuka?

Nashukuru kama umeliona hili..

Maana hapa hatu-promote kabila wala dini bali SAYANSI & TEKNOLOJIA.

Vilevile mimi sioni ishu, watu wanaoona ishu ni wale wenye upeo finyu ambao ni hawa hapa:

4. Kudhani kuwa walioteuliwa wamepewa ULAJI..
 
Nafahamu taaluma za Prof. Luhanga, Dr. Mwamila na Miss. Munyagi, wote ni wahandisi. Hao wengine pia either ni wahandisi au wamesoma sayansi, sina uhakika na wengine. Maybe hapa kigezo ni kuwa msomi katika nyanja hizo, na hata jina la hiyo kamati ni Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano. Sasa kama wasomi wa makabila au kanda nyingine labda wengi ni wa Arts au something else, huoni probability ya kupatikana mtu wa huko pia inashuka?

basi wamuongeze na karamagi teheteheteh si mwislamu musomi aongezee T....
 
Msolla aunda kamati ya kuchochea sayansi
James Magai

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msolla ameunda Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo pamoja na majukumu mengine itaishauri Serikali namna ya kuwavutia vijana wasome masomo ya sayansi.


Prof. Msolla alisema hayo ofisini kwake jana, kabla ya uzinduzi wa Kamati ya ushauri wa masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo iliundwa hivi karibuni.


Wajumbe wa Kamati hiyo ni Profesa Mathew Luhanga , Profesa Burton Mwamila, Profesa Suzan Nchimbi Msolla, Profesa Keto Mshigeni na Margareth Munyagi.Wengine ni Dk.Tito Mwinuka na Margareth Komba ambao mi wajumbe wa sekretarieti.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Makamu Mkuu Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Profesa Luhanga, alsema Kamati yake itatumia uwezo wake utakaoisaidia Wizara katika utendaji wake kwa ajili ya maendeleo ya Taifa na kwamba wiki ijayo watakaa kutafakari namna ya kutekeleza majukumu hayo.

Tuma maoni kwa Mhariri

© Mwananchi Communications Ltd 2006- 2009


Hivi hakuna wanasayansi wanaofaa kuwepo kwenye kamati hii kutoka kwinginepo? Na wote ni wakristo!

Prof Nchimbi-Msolla of SUA is a brilliant plant breeder, married to Prof Peter Msolla's bother (the football coach, Mshindo Msolla). I just can't understand how this is related to IT&C. May be terms of reference (ToR) for the task of the committee include biotechnology (which is her area of expertise). Otherwise this might be another Bongo Dar as well!!
 
basi wamuongeze na karamagi teheteheteh si mwislamu musomi aongezee T....

hapa hatu fanyi mashindano ya waislamu wala ukristo, na haina haja ya kutia chumvi kwenye kidonda, tujaribu kuweka muelekeo wakurekebishana , hasa katika suala kama hili la dini, na ukabila. na suggestion ya mtoa mada sio mbaya saana, au tuseme amekosea jinsi alivyo iwakilisha, lakini kuna point kama hizi zifuatazo kitaaluma lakini, kwamba unapochagua watu wa ssehemu mbali mbali , dini mbali mbali kuna saidia kupata muono wa watu wengine juu ya kitu fulani. eg ukimchagua muislamu wa rifiji, si pia utapata maono ya watu wa rufiji, na hata maono ya ndugu zetu waislamu juu ya sayansi, pamoja na ujuzi wa muhusika katika hiyo sayansi.kwa hiyo hapa utapata vitu vitatu kwa pamoja. hata ukachanganya na muarusha/meru/maasai utapata pia experience ya watu wa huko, tunajua na tunaelewa kwamba ni vigumu katika kila jambo kuwa fair kama tunavyo penda lakini kila jambo likiwa na uwigo mpana linakuwa na manufaa
 
Back
Top Bottom