dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,205
- 54,779
mama anarudisha mfumo kristo ?
Ndugu Zangu Tuchape KaziMbona wote wakristo?
Nchi Haiwezi Kwenda Vema Bila Wagalatiamama anarudisha mfumo kristo ?
Tuchape KaziKwani wakristo siyo watanzania?!!
Miss Mushi hujajibu swali.Majina ya mapendekezo tayari yapo mezani kwake
Unataka nipendekeze nini tena wakati mapendekezo yashafanyika? Kwamba nikitaja hapo kule kutafanyia changes ama? Au wewe ndo unakusanya data za mapendekezoMiss Mushi hujajibu swali.
Umeulizwa: unampendekeza nani ateuliwe?? Wewe unajibu hivyo ulivyojibu
Watanzania, mkiulizwa maswali muwe mnajibu hayo maswali.
Hii ni sababu kubwa sana inayopelekea wengi mfeli.
Wewe ni mkabilaWewe ni mdini!
"Lazima atoke kwenye ukoo ule"Unampendekeza nani ateuliwe???