UTEUZI: Rais Samia ateua Majaji wa Mahakama Kuu

Lusungo

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
27,127
39,326
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa maafisa ishirini na wawili (22) kuwa Majaji wa Mahakama Kuu

1-1659741329099.jpg
2-1659741329099.jpg
3-1659741329099.jpg
 
Sawa . Ila mchakato haufafanuliwi jinsi wanavyopatikana hawa waheshimiwa majaji wa Mahakama Kuu Tanzania


TOKA MAKTABA:
Mei 17, 2021


Uteuzi Wenu Ni Sahihi Msiwe Na Wasiwasi; Jaji Mkuu


Jaji Mkuu asikitika kuwa watu hawafahamu mchakato wa kuwapata waheshimiwa majaji :

Akizungumza na Majaji hao alipokutana nao mapema leo Mei 17, 2021, Mhe. Jaji Mkuu alisema kuwa uteuzi wa Majaji hao walioteuliwa ulifuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kumshauri Mhe. Rais baada ya kujiridhisha. Soma zaidi : source:
 
Habari za usiku huu, mtakapoamka pokeeni taarifa hii maana mteuaji halali wala hasinzii...

Orodha hii chini ni ya majaji wateule. Hongera nyingi kwao.View attachment 2315715View attachment 2315716View attachment 2315717
Mkuu Lusungo , kwanza asante sana kwa taarifa hii, ila kwa vile mimi ni mtu wa media, natatizwa sana na hii mikeka inayotoka time hizi!. Hawa watu wanalala saa ngapi?.
Hizi time za hii mikeka kutoka!. Hawa watu wanalala saa ngapi?!. NB, kwa nile kuna mtu aliishawahi kutanka kuwa yeye na mtu fulani wanafana kwa uchapakazi, na kuna mchapakazi alikuwa anachapa kazi round the clock na kupelekea kuingia na mafaili hadi room!, tusiruhusu uchapakazi wa hivi kwa mtu wetu!, tutamchosha!. Kazi yes tuchape kazi, ila muda wa mambo mengine, ikiwemo muda wa kupumzika, lazima apumzike!, hata ikitokea mtu wetu hana usingizi, then aangalie hata katuni, lakini sio kwa uchapakazi huu!.

Hongera zao kwa wateuliwa, ila hongera sana kwa mteuzi, kumbe uswa wa kinsia unawezekana kabisa!, katika teuzi hizi mpya za majaji wapya 22, majiji 11 wana majina ya kiashiria cha Kike!,!
P
 
Mkuu Lusungo , kwanza asante sana kwa taarifa hii, ila kwa vile mimi ni mtu wa media, natatizwa sana na hii mikeka inayotoka time hizi!. Hawa watu wanalala saa ngapi?.
Hizi time za hii mikeka kutoka!. Hawa watu wanalala saa ngapi?!. NB, kwa nile kuna mtu aliishawahi kutanka kuwa yeye na mtu fulani wanafana kwa uchapakazi, na kuna mchapakazi alikuwa anachapa kazi round the clock na kupelekea kuingia na mafaili hadi room!, tusiruhusu uchapakazi wa hivi kwa mtu wetu!, tutamchosha!. Kazi yes tuchape kazi, ila muda wa mambo mengine, ikiwemo muda wa kupumzika, lazima apumzike!, hata ikitokea mtu wetu hana usingizi, then aangalie hata katuni, lakini sio kwa uchapakazi huu!.

Hongera zao!.
P
Halafu ukiwasikiliza kwa namna fulani wanavyotamka kuwa hawalali huona kama sifa lakini kwa wenye akili hii sio sifa, kulala ni muhimu kwa afya ya akili na mwili, Rais kujisifu hulali mithili ya manamba au makuli ni ushamba, unaonesha huna team work nzuri zaidi sana upo stone age. Dunia hii iliyo simplified Rais alipaswa a relax ndio maana wanawaona wehu wanaotaka katiba mpya na a well modernized government machinery working system.

Imagine huyo Zuhura anapost vitu saa nane usiku halafu asubuhi saa 7:30 am yupo ofisini!! Pathetic!
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa maafisa ishirini na wawili (22) kuwa Majaji wa Mahakama Kuu

View attachment 2315715View attachment 2315716View attachment 2315717
1. Happiness Philemon Ndesamburo ni mtoto wa ndesamburo wa Chadema? ???
2. Naona mahakimu waandamizi wa mahakama za Hakimu Mkazi hawafai, hata mmoja. Amewaonea sana!
Wanawakeni wengi, safi au?
3. Ana wa Tume ya uchaguzi ni wezi wa kura, hafai kabisa. hawezi kutenda haki. Kesho tutamsikia Mahala ni Jaji. .....amewekwa ku handle kesi za uchaguzi za CCM washinde?
4. Na ile dini wako wengi
5. Mawakili wa serikali ni AWARD NA SI WELEDI......

Conclusion: Majaji wa UPE
 
nilivyokuja mbio...
Ukajua umo, uliipoteza taji yako kizembe sana enzi ya kuhani mkuu KAYAFA, sasa unaishi kama popo usiyejua uwe mnyama au ndege pole sana. Majira hayafwati watu bali watu hufuata majira.

Imagine ungelinda ile taswira yako leo ungekuaje?

Uliitupa taji yako kwenye shingo ya nguruwe pole sana.

Nimekumbuka kitabu cha 'the wreath for father mayor'
 
Mkuu Lusungo , kwanza asante sana kwa taarifa hii, ila kwa vile mimi ni mtu wa media, natatizwa sana na hii mikeka inayotoka time hizi!. Hawa watu wanalala saa ngapi?.
Hizi time za hii mikeka kutoka!. Hawa watu wanalala saa ngapi?!. NB, kwa nile kuna mtu aliishawahi kutanka kuwa yeye na mtu fulani wanafana kwa uchapakazi, na kuna mchapakazi alikuwa anachapa kazi round the clock na kupelekea kuingia na mafaili hadi room!, tusiruhusu uchapakazi wa hivi kwa mtu wetu!, tutamchosha!. Kazi yes tuchape kazi, ila muda wa mambo mengine, ikiwemo muda wa kupumzika, lazima apumzike!, hata ikitokea mtu wetu hana usingizi, then aangalie hata katuni, lakini sio kwa uchapakazi huu!.

Hongera zao kwa wateuliwa, ila hongera sana kwa mteuzi, kumbe uswa wa kinsia unawezekana kabisa!, katika teuzi hizi mpya za majaji wapya 22, majiji 11 wana majina ya kiashiria cha Kike!,!
P
Issue ni je are these ladies capable of handling complex law issues that will come before them? Au ni ,kuwapa kubalance gender without technical know how? Majaji wa UPE!
 
1. Happiness Philemon Ndesamburo ni mtoto wa ndesamburo wa Chadema? ???
2. Naona mahakimu waandamizi wa mahakama za Hakimu Mkazi hawafai, hata mmoja. Amewaonea sana!
Wanawakeni wengi, safi au?
3. Ana wa Tume ya uchaguzi ni wezi wa kura, hafai kabisa. hawezi kutenda haki. Kesho tutamsikia Mahala ni Jaji. .....amewekwa ku handle kesi za uchaguzi za CCM washinde?
4. Na ile dini wako wengi
5. Mawakili wa serikali ni AWARD NA SI WELEDI......

Conclusion: Majaji wa UPE
Hao wasajili na Naibu wasajili wa mahakama wengi kama sio wote hutokea kwenye uhakimu.

Sheria haimlazimishi rais kuteua mahakimu tuu mradi aliyeteuliwa kuwa jaji anapaswa kuwa na sifa ya uwakili kwa zaidi ya miaka 15 mfululizo.

Pili ujaji ni kazi nzito na ngumu sio kitu cha kufurahia kupata ulaji.

Kila la heri kwao.
 
Back
Top Bottom