Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 495
6-2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani mnikulu anatakiwa kuwa na cv gani? maana hiyo ni tittle kama ya kimila hiviNgusa samike aliyekua msemaji wa familia wakati wa mazishi ya mwendazake. Meko alizungukwa na ukoo wake pale Ikulu
Elimu ya Ngusa mpaka sasa bado haifahamiki.
Ila Jiwe nae sijui alitumia vigezo gani katika kuteua wasaidizi wake. Mistery!
With all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
Hii imekaa poaIkulu inazidi kuimarika kwa kuitazama dunia kuwa tunaihitaji hivyo lugha na diplomasia inazidi kuimarika Ikulu
Dr. Musa Julius Lulandala B.A. (Ed.), M.A. (Besancon), PhD (Geneva)
Lecturer
Field of specialization: French Language teaching, Interpretation & translation (French-English-Swahili)
Maneno mazito sana hayo jaribu Kuya punguza makali kidogo! Uta watoa watu roho!Kila nabii na zama zake
Tuwe na shukrani, msipo pewa taarifa maneno, mkipewa taarifa maneno ifike mahala tuache gubu so far lzm ujue Rais ni public figure,Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Ujaona wewe nani? Huu utaratibu upo dunia nzima yaaani rais kumchangua state house comtroller wewe roho inakuuma una cha maana zaidi ya chuki zako binafsi na usipngalia kipindi cha huyu Mama utaumia kweli kweli.Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Kumpata Rais wa jinsia ile bila box la kura hadi 2025 tutaona mengiBado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Labda ata kula hivyo for funnyAende sasa akale michembe na maparage.
Nani kama mama?
View attachment 1754085
Lissu ameanza kujamber jamber kama kawaida yakeNani kama mama?
View attachment 1754085
Tutaona mengi kweli kama ripoti ya CAG inavyooeleza sasa wewe jinsia yako imekusaidia nini zaidi ya kupewa tag unaitwa mnyonge watu wanapiga pesa bandarini.Kumpata Rais wa jinsia ile bila box la kura hadi 2025 tutaona mengi
Hakika, mama ikimpendeza kuanzia wakuuu wa wilaya/mikoa, majeshi yotee aweke wazanzibar tuuu.Mbona Jiwe alijaza kina ngosha? Hamkuwa mkiona? Tena na yeye apeleke miradi yote maendeleo kwao Kiembesamaki kama ilivyokuwa kwa Chato city! Kutesa kwa zamu...!
Hata neno ikulu ni la kisukuma na kinyamweziLimetoka katika lugha ya kisukuma - mtu anayefanya kazi kwa mtemi
Na alisema anateua kutegemea na alivyoamkaHakuwa na kigezo chochote kuteua watu.
Jinsi atakavyoamka tu siku huyo anamteua mtu atakayehakikisha anakuwa loyal kwake.
Ni kweli aliaanza kupikiwa na Mjane?Nasubiria upande wa jikoni kama nitateuliwa, awamu ya Mzee wa Msoga wafanyakazi wa jikoni tu walikuwa wanajaza coaster 2, Jiwe alivyoingia akafunga kitengo na kusema atakuwa anapikiwa na Mama Janeth, sasa naona neema inarejea, nutritionists tutafikiriwa labda!
Huo ni utawala bora, lazima tuwajue tunaowalipa mishahara kwa kumsaidia raisBado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Pamoja na madudu yake, ila wote tulikulaMkuu umefukua hili kaburi, kweli watanzania aliyeturoga alikufa, tumeishasahau haya madudu ya Jk hadi tunatamani arudi kwa mlango wa uani?
Huyu pia ndiye aliyekuwa katibu wa Rais.
Na ni mwana familia wa mwendazake.