UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

Hakuwa na kigezo chochote kuteua watu.
Jinsi atakavyoamka tu siku huyo anamteua mtu atakayehakikisha anakuwa loyal kwake.
Elimu ya Ngusa mpaka sasa bado haifahamiki.

Ila Jiwe nae sijui alitumia vigezo gani katika kuteua wasaidizi wake. Mistery!
 
Hivyo viwe vilikuwepo karibia vyote na amevirithi kutoka kwa jiwe na watangulizi wake. Acha nongwa.
With all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
 
Ikulu inazidi kuimarika kwa kuitazama dunia kuwa tunaihitaji hivyo lugha na diplomasia inazidi kuimarika Ikulu


Dr. Musa Julius Lulandala B.A. (Ed.), M.A. (Besancon), PhD (Geneva)

Lecturer

Field of specialization: French Language teaching, Interpretation & translation (French-English-Swahili)
Hii imekaa poa
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Tuwe na shukrani, msipo pewa taarifa maneno, mkipewa taarifa maneno ifike mahala tuache gubu so far lzm ujue Rais ni public figure,
Maisha yake ya kazi au binafsi yanagusa maslahi ya public.
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Ujaona wewe nani? Huu utaratibu upo dunia nzima yaaani rais kumchangua state house comtroller wewe roho inakuuma una cha maana zaidi ya chuki zako binafsi na usipngalia kipindi cha huyu Mama utaumia kweli kweli.
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Kumpata Rais wa jinsia ile bila box la kura hadi 2025 tutaona mengi
 
Mbona Jiwe alijaza kina ngosha? Hamkuwa mkiona? Tena na yeye apeleke miradi yote maendeleo kwao Kiembesamaki kama ilivyokuwa kwa Chato city! Kutesa kwa zamu...!
Hakika, mama ikimpendeza kuanzia wakuuu wa wilaya/mikoa, majeshi yotee aweke wazanzibar tuuu.

Maana tuliuendekeza ujinga sisi wenyewe.
 
Nasubiria upande wa jikoni kama nitateuliwa, awamu ya Mzee wa Msoga wafanyakazi wa jikoni tu walikuwa wanajaza coaster 2, Jiwe alivyoingia akafunga kitengo na kusema atakuwa anapikiwa na Mama Janeth, sasa naona neema inarejea, nutritionists tutafikiriwa labda!
Ni kweli aliaanza kupikiwa na Mjane?
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama Rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa Rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa Rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Huo ni utawala bora, lazima tuwajue tunaowalipa mishahara kwa kumsaidia rais
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom