babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,101
- 15,991
Teuzi zinaendelea
Kazi iendelee.
Kasema mama yenu.
Mi nani nipinge👏👏👏
Kazi iendelee.
Kasema mama yenu.
Mi nani nipinge👏👏👏
Kwa vigezo vyote ikiwamo kujiimbisha mapambio anafaa, bado tu kujiliza hadharani.Yupo wapi Pascal Mayalla ??
OPRAS inasaidiaje? Tuliza wengeKuna kitu serikalin kinaitwa OPRAS fuatilia lkn kwa nafasi yake ya DED kuna vitu vingi vina mulikwa
Acha wivu laumu mfumo wa familia yenuKuna ndugu wa Nape
ulitaka vip.Hawa walitakuwa wateuliwe na Utumishi - Rais ana mamlaka yaliyopitiliza... na ndiyo maana tunataka kuipitisha katiba mpya ya Jaji Warioba.
Ukiangalia kwa makini wote hawa wana chembechembe za ukada wa Lumumba - na ndiyo wanakwenda kuwa wasimamizi wa chaguzi zote, hii pia ni changamoto nyingine na kubwa.
Rais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046
Walikuwa na haraka siunajua wanaenda Rwanda leo? Wasamehe bure.Jamani mmeshaambiwa kazi iendeleeee..
1. Familia ya NNAUYE
2. Familia ya Kijazi...
Dollar Kusenge pale Ujiji Kigoma ni mwanakijani kindakindaki. Yani huyo ukikata mshipa utakutana na damu ya kijaniMnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Alieletwa nzega unamjua???Wafanya biashara na watumishi Tunduma poleni sana mmeletewa jini mnyonya dam yani kichomi kupita maelezo nzega uko Leo ni shangwe na vigeregerer
Una kula bange kijana kwaninumeambiwa OPRAS ni kitendea kazi ? Acha bangeOPRAS inasaidiaje? Tuliza wenge
Labda Mayalla anaitwa dolla siku hiziKwa kweli jina la Mayalla halimo aisee, uongo wa Johnthebaptist ndiyo maana nikamtukana! Pale Kasulu kuna jina la Dollar Kusenge na mwingine Anaitwa Kashushura maana Kasulu kuna halmashauri 2 (yaani mji na vijijini). Ila kwa jina la Dollar panatakiwa marekebisho maana katokea kwenye halmashauri 2 (Kasulu na Njombe).
Mmh wakiteuliwa na utumiashi ndio kutakuwa na balaa zaidi ya Hilo. Bora raisi aendelee tu kuteuaHawa walitakuwa wateuliwe na Utumishi - Rais ana mamlaka yaliyopitiliza... na ndiyo maana tunataka kuipitisha katiba mpya ya Jaji Warioba.
Ukiangalia kwa makini wote hawa wana chembechembe za ukada wa Lumumba - na ndiyo wanakwenda kuwa wasimamizi wa chaguzi zote, hii pia ni changamoto nyingine na kubwa.
Dini ndio imekuwa kigezo kikubwa.Mnaowafahamu hawa wateule, je Ukada wa CCM kma alivyokuwa Magufuli umeendelezwa na Samia? Professionalism imezingatiwa? Au ni mwendo wa kichama, makada?
Lakini kwa Samia nowadays ataweka rekodi ya uchama ......
Uteuzi wake wa awali kuwa DED ulikuwa ni wa 'Kikuwadi' zaidi baada ya Kutumika 'Kumkuwadia' Mtu 'Totooz' moja yenye 'Mwanya' na 'Inye' alipokuwa CMG ( hasa katika Kipindi chao kile ) ila Naomba niishie hapa tafadhali na Rest In Peace sana Wewe Mtu.Kamoga kapigwa chini?aisee